Kilugha chetu kwanza adimu sanaHahahahahahaha usiniambieeee
Hahahahahahahha kweli kabisa hahahahahahaha umenikumbusha mnyakyusa wa Tegeta alikuwa ananihonga magimbi mpaka leo napenda sana magimbi nilikuwa siyajuiWanyakyusa hahaha utasikia, Nakupenda sana Demiss na gule gusura gwako guzuri mweeee gunanichanganya moyoni je, umekubali kuwa na mimi je Demiss?
Mbombo ngafu....
HaahahaHe he he he
Ngoja na mimi nijilengeshe kwa Mkurya mmoja anitongoze, nipime kama yaliyomo yamo.
Nasikia hata huwa hawapapasi wakifika tu wanazama shimoni
Hahah magimbi kutoka Tukuyu, hivi hakukuonga viazi na mafufu?Hahahahahahahha kweli kabisa hahahahahahaha umenikumbusha mnyakyusa wa Tegeta alikuwa ananihonga magimbi mpaka leo napenda sana magimbi nilikuwa siyajui
Safi tu, nipo mji wa watu wafupi nchiniSafiiii kabisaa sijui wewe upo wapi hapoooo
Hahahahahaha wa mjini basiii
Yaani unakumbuka magimbi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari sanaHahahahahahahha kweli kabisa hahahahahahaha umenikumbusha mnyakyusa wa Tegeta alikuwa ananihonga magimbi mpaka leo napenda sana magimbi nilikuwa siyajui
Hata kama ni usanii ila ukitaka kumtokea mchuchu lazima ujipange, sio unakurupuka tu..Zamani ndo ilikua sanaa mkuu ila siku hizi ni usanii
Haaaa haaaa [emoji23][emoji23] wamjini niniAaa wapi huyu wangu anapapasa hadi unaweza kupaa mbingu saba[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wala hana masikhara atii
Viazi weyeee ndizi za kumwaga mcheleeee