skills man
Senior Member
- Nov 10, 2024
- 175
- 437
Pesa anayo uyo mzee wanae Usalama wakubwa tupo nao ZanzibarWalimwengu kabla ya umauti hujisahau sana.
Nothing is permanent
Pesa anayo uyo mzee wanae Usalama wakubwa tupo nao ZanzibarWalimwengu kabla ya umauti hujisahau sana.
Nothing is permanent
Ana Hotel Kubwa IPO NungwiNdio shida ya kuoa watoto
SadPesa anayo uyo mzee wanae Usalama wakubwa tupo nao Zanzibar
Mi namsemea huyo anaebwekabweka juu ya Mali like atazikwa nazoPesa anayo uyo mzee wanae Usalama wakubwa tupo nao Zanzibar
Ana wake 2Unakuta alikuwa na wanawake 3+
Mi namsemea huyo anaebwekabweka juu ya Mali like atazikwa nazo
Uyo mwanamke atachokipata mtasikia soonNdio shida hiyo sasa pale kati ameshindwa kupa control mpaka anafikia kudhalilishwa hivyo
Hakika, sidhani kama bidada analijua hiloHujafa hujaumbika
Uyo mwanamke ana miaka 31 mzee ana miaka 71Tumuombee sana🥱
Naye mwanamke anakaribia kuwa scrapUyo mwanamke ana miaka 31 mzee ana miaka 71
Makala alishawahi kupigika sana hata kushindwa kupeleka Watoto shule kipindi cha magufuli . Alikuja kuokolewa na SSH . siyo kwamba hajui anajua sanaMzee wa michango Makalla hili asilikalie kimyq kama halijui
Yes. Hawa ni kati ya wale waliookotwa jalalani. Jk alimteua kuwa RC kilimanjaro kabla jamaa hajaapishwa. Wakaja kula kichwa. AlihahaKumbe ndio maana .....