Mitego ya wanawake

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hapa hujawakatalia, ilitokea hitilafu katika zoezi!
 
Mie mwanamke anitake halafu anikose, huyo hata akifa ardhi itamkataa πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
Au Siyo mkuu
 
Ukitongozwa na mwanamke then ukamchomolea basi utakuwa james delicious au juma lokole.
 
Ukitongozwa na mwanamke then ukamchomolea basi utakuwa james delicious au juma lokole.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mkuu tuna vijana wenye msimamo, wasiobabaishwa na harakati za wanawake waombe radhi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mkuu tuna vijana wenye msimamo, wasiobabaishwa na harakati za wanawake waombe radhi

Hakuna huyo kijana ,mwanamme kamili hawezi kukataa mbususu iliyojileta bure ,atakayekataa sio kwamba ana msimamo bali ni Aggrey Pita huku.
 
Sababu kubwa ni kwamba, mwanamke ameumbiwa mvuto wa asili kwa mwanaume wakati mwanaume hana mvuto wa asili kwa mwanamke, ni kwamba anahitaji kumfanyia mambo flani mwanamke ndipo apendwe wakati mwanamke hahitaji kutumia nguvu kubwa kumfanya mwanaume apagawe.
 
Hili ni hitimisho la jumla. Umefanya utafiti gani kuwasemea wanawake na wanaume wote wakati ni mambo yako binafsi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…