UVIKO
JF-Expert Member
- Jun 14, 2021
- 294
- 362
Mr mshana jr ,umeongea vizuri ingawa wachache watakuelewa ,Hakuna mahali mleta Uzi amepinga taarifa zisitoke isipokuwa tatizo mfumo unaotumika au unaotumika ,,kila Jambo linatakiwa lifanywe kiuwelidi Bila kuwathili akili zetu Sisi watazamaji au watumiaji .ndyoo maana kwako hauwezi kuangalia video za X au unazungumza Mambo ya faraga mbele ZA watoto wako .