DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
Kwa maslai mapana ya taifa! Lisu ni msaliti
akijibu nitagKwani una siri gani wewe,
Ambayo haifahamiki???
Hakuna haja Mzee babaLeo wakati rais Magufuli anapokea ripoti ya makanikia amesema kwamba walifuatilia mawasiliano ya mtu ambaye alikuwa anawasiliana na mtu anayeitwa Mwanyika na kumuomba data, hii maanake ni kwamba serikali kwa kushirikiana na kampuni za simu zinaingilia mawasiliano ya watu.
Kwa lugha nyingine ni kwamba mitandao ya simu inatoa siri za wateja wake kwa serikali aidha kwa hiari yao au kwa kulazimishwa, je uhuru wa faragha ya mteja upo wapi? Na kwanini mitandao hii inakubali kutoa siri za wateja wao kwa watu wasio husika, kuna haja ya kuendelea kuwa wateja wa mitandao hii inayotoa siri za wateja wao?.
By the way, kutafuta data ni makosa?Hajataja jina la mtu
Hajamtaja Lissu
Na inaonesha ni uongo maana kama ni kweli wangeweka hadharani mbona kina Kafumu wametajwa kabisa
Kweli kabisaUsalama wa nchi ikiwemo maliasili zake ni muhimu zaidi kuliko huo usiri unaotaka. Kumbe mnahangaika kutaka kupatiwa data ili mpayuke vizuri? Tumewajua
Hahaha kweli kabisa mkuu serikali ni kila kitu. Hivi kama mtu unataka kuatarisha maisha ya wananchi usidukuliwe ye ni nani?sasa wasipodukua mawasiliano..itakuwa nini maana ya serikali?Serikali ikiamua kukufuatilia inaweza kuanzia taarifa zako zote zamawasiliano hadi miamala yote ya pesa hadi wake na michepuko yote ulonayo
Chadema walikwisha kanusha ile ripoti ya siri na zitto alishaenda mahakamani kutafuta walioandaa sasa wapi na wapu kuhusu hii ya raisKipindi flani cdm walidukua miamala ya Zitto kabwe hii ilikuwaje kisheria?
kwani RAIS alimtaja TINDU LISSU?