fisadi12
Senior Member
- Dec 13, 2014
- 134
- 47
siku zote hizi mbinu zinaanzishwa na upinzani hasa chadema na cuf kuna wkt kila mkutano mkubwa wa chadema lazima kulikuwa kunatokea mauaji tangu Lwakatare alipokamatwa hatujasikia mauaji kwenye mikutano ya chadema alipouwawa jamaa waliokuwa wakimtumia walilalamika sana leo wameanza tena kulalamika nani asiyejua ukaribu wa Yeriko naSilaa na Mbowe nani asiyejua Yeriko na baadhi ya vijana cdm wameajiriwa na chama icho kupptosha mambo kwenye mitandao na pesa inatoka ujerumani milioni25 kila mwezi kwa kazi hiyo ndiyo maana moja wa gaidi kakutwa na fulana ya M4C
Acha uongo wako hili tukio LA tanga limetengenezwa Bahati mbaya wanatumia uongo wa kitoto sana kuaminisha wtu wazima na akili zao timamu