Nyambavu ww -----, ambae umekuwa mkubwa na ndevu ila akili bado bogus. Hivi siasa imeingia wapi hapo? Hio ni biashara na ndio maana wale wengine wakibanwa wanafunga maduka naww ndio unasupport
Nchi hii sharti makampuni ya simu za mkononi yaongezeke yashindane ili iwe naafuu kwa mlaji. Tukipata makampuni 10+ ya simu za mkononi itakuwa poa sana. Airtel wapo vizuri sana.
kweli kabisanaunga mkono hoja,hii huduma inanuka ufisadi,inanuka wizi,inanuka ujambazi,inanuka unyonyaji,inanuka ujangili,inanuka udanfanyifu,inanuka uzandiki,na takataka zote zinazohifadhiwa kwenye shimo la choo
Tumeona picha za hao magaidi. Wewe bado una akili kama za Yeriko Nyerere
mbona wamezuia waandishi wa habari kuongea na majeruhi?Tumeona picha za hao magaidi. Wewe bado una akili kama za Yeriko Nyerere
WADAU,habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa ccm imeiagiza makampuni ya ccm kupandisha garama za data/internet ili kupunguza mwamko na elimu kwa wananchi katika mwaka huu wa vuguvugu la uchaguzi mkuu na katiba pendekezwa.
nia ni kuhakikisha garama za kupata infomation zinakua kubwa hivyo kumfanya mtanzania wa kawaida iwe ngumu kupata taarifa mbalimbali za mitandaoni kuhusu katiba pendekezwa na uchaguzi mkuu.
pia tiss imeagizwa kuratibu propaganda mbalimbali za ku-divert attention ya watanzania kuhusu mambo mbali mbali yanayowahusu na kupeleka kwenye propaganda za kuwatia hofu wanannchi mfano mojawapo ni madai ya kuwepo kikundi cha kigaidi kinachoshambulia vituo vya polisi.
nawasilisha