Kwa mtiririko wa suala lilivyo, ninaanza kuamini habari za Jericho. Hli ni tukio la kubumbwa kwa maslahi ya ccm.
1. Kama ni tukio la kweli, kwamba tanga kuna magaidi, kwa nini zitumike picha fake, za kubumba za zamani? Mbona wasiweke picha za tukio halisi? Picha fake zimeondoa uhalisia wa hili suala.
2. Watu wamejeruhiwa, sasa serikali inakataza waandisi wa habari kukutana na majeruhi, inaogopa nini kama si kuumbuka? Wangelikuwa hawa majeruhi ni wale "magaidi", tungesema wanazuia kuhojjiwa ili kutokuvuruga upelelezi unaoendelea. Kwa nini majeruhi ambao ndio hasa wameona kinachoendelea wanafungwa vinywa?
3. Huyu gaidi mkuu na vibaka wenziye, wanawezaje kufanya kampeni hadharani na serikali inawatizama tu as if hakuna inteligensia? Intelijensia hii huwa inanasa maandamano ya wapinzani tu? It sounds so lousy to be given that weight.
Magaidi wanajisema kabisa na sehemu waliko, halfu kweli matukio ya mapambano yanatokea kule kule Tanga. Hizi zi hekaya za Abunuasi hizi? "Usije ukaenda nyumbani kwangu, ukaangalia juu ya mlango, ukachukua ufunguo, ukaingia ndani, ukafunua wali uiopo mezani, ukala halafu ukaondoka bila kuosha vyombo wala kufunika".. Kumbe alitaka kumkomesha kadhi!.
Ccm kufeni salama mtuachie nchi yetu.
Wala hamtutoi kwenye wizi wenu wa escrow na ufisadi,
Katiba fake,
tume huru ya uchaguzi.
Mfumo wenu wa BVR,
Usifadi na mabilioni ya uswizi.
na huu ugaidi mnaoutengeneza, uishie kwenu huko huko. Ngoja muanze kuvuna matokeo. Wehu!.
Bisha kwa logic, inashindikana nn kum-plant mtu na akapigwa video ambazo amejifunika kininja na kutoa maneno ya kutisha?
Kwa ccm anything can happen!
Ni hatari sana kwa sababu mtaji wenu Ujinga sasa ni haba.