Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

ni kweli mkuu dada yake January makamba miss Mwamvita makamba alishawahi kuwa boss wa kitengo flani kwenye hii kampuni hivyo ni hao hao hawawezi kufanywa lolote zaidi ya kuungwa mkono
 
issue sio kuanzisha thread mpya bali nimekerwa mno na huu wixi wa mchana kweupe
Sasa kama tayari Kuna topic inazungumzia hiyo kitu si ni bora tu uyapeleke mawazo yako pale kwenye hiyo hiyo topic?
 
kaka makamba anauwezo wa kuingilia kati akipenda ila hawa ndio watakaomchangia hela za kwenda magogoni hawzi kuwafanya lolote
 
nimeyapeleka ila inaonekana kama una hisa pale vod ndo maanahutaki wazungumziwe hapa JF
Ha ha ha, wewe utakua mgeni humu JF. Anyway, kwakua thread yako washaiunga kwenye thread mama basi sina tatizo.


Ila kwa kukusaidia tu, tatizo la kupata kifurushi kidogo ni la mitandao yote, na watu wameanza kuzungumzia siku ya nne leo. Ukija leo ukatuanzishia thread mpya tofauti kwa jambo lile Kisa tu una hasira nao Haisaidii.
 
Ndugu yangu, yani hata hicho kifurushi cha 1000 utapata dk na sms kibao lkini mb ni 8 tu.


Msipate tabu jiunge na kifurushi cha internet masaa 24 bila kikomo kwa tsh 1000 hiyo2 utafanya mambo yako yote kuanzia kudownload video kwenye watsaap hadi kuangalia video kwenye YouTube tumia hadi wao waseme poooh! Mimi imebidi nifanye hivyo hadi wakanitumia msg eti "ndugu mteja umetumia MB 700 sasa endelea kutumia internet kwa kasi ndogo hadi mda wako utakapoisha " wapumbavu sana
 
Msipate tabu jiunge na kifurushi cha internet masaa 24 bila kikomo kwa tsh 1000 hiyo2 utafanya mambo yako yote kuanzia kudownload video kwenye watsaap hadi kuangalia video kwenye YouTube tumia hadi wao waseme poooh! Mimi imebidi nifanye hivyo hadi wakanitumia msg eti "ndugu mteja umetumia MB 700 sasa endelea kutumia internet kwa kasi ndogo hadi mda wako utakapoisha " wapumbavu sana

Sasa hapo si nitakosa dakika za kuongea na SMS? Heri tu nihamie Zantel aisee
 
Nyie si ndo mnaoshabikia Wafanyabishara wakandamizwe na serikali kwa kulipa kodi kubwa? Wacha mkamuliwe kisawasawa.
Mkuu hili limekuchomoka au unamaanisha?
unajua kodi zinazokatwa kwenye mshahara wa mfanyakazi na wala hana mahali pa kuurejesha?
Jukumu la kulipa kodi ni la kila mtanzania na siyo waajiriwa peke yao.
Naomba wafanya biashara msiwe wabinafsi.
 
nisaidiwe kujua sababu za kupanda kwa hizi gharama kwa upande wa mb au limesababishwa na kushuka kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia?
 
Jana nimepata cha moto nilipojiunga kifurushi cha tigo cha week, wamefuta cha 3500 wakaweka cha 4000 wakapunguza dakika na mb
 
Mkuu hamia zantel, sijui kwa nini wa tz wengi wana mashaka na mtandao huu. Huu ndio mtandao bora ambao hauna mambo ya magumashi, dakika za kutosha, mb za kumwaga. The best thing ukiweka tu salio na easy pesa unakula mb za bure hata kabla hujajiunga na kifurushi chochote. Pia hauna longolong0 kila kitu kiko straightforward.
 
1424084881962.jpg
Cha siku.

1424084924526.jpg
Cha wiki.

Mimi jamani bora huku Airtel kuna ka unafuu kidogo.
 
Ni rahisi sana km una simu mbili moja weka airtel nunua bundle ya kutosha set hotspot then simu yako ingine ya voda au tigo set wifi kupokea mzigo wa internet from hy airtel then maisha ni muruaaaa kabisaaaa
 
makamba ametweet kuwa amewaagiza mamlaka ya mawasiliano washughulikie then watoe taarifa lakini naona ni kauli za kisiasa
 
Back
Top Bottom