daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 424
Nyinyi hamjui watu wenye hisa nyingi Vodacom hapa Tanzania? Sisi kanda ya Ziwa hata soda za coca cola tulishasusia tangu mmiliki mmoja kuitumia brand yake hiyo kutunyanyasa katika uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya Kirumba 2013.Tumieni mitandao mingine hata SAFARICOM.Vodacom pamoja na kuongoza kibiashara lakini kodi wanayolipa ni kidogo sana kwa nchi hii