Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Kutapatapa Kama mfa maji! CCM itaanguka tu wapende wasipende; its a matter of time!
Wote tuna wish CCM ianguke lkn kwa matayarisho haya ya wapinzani haitawezekana
Kyela hatujawahi iona ruzuku ya CHADEMA na tumechangishana hadi tumechoka