Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Hawa wanakoelekea wataanza kukata hela hata unapoangalia salio au ukiwa unajiunga na kifurushi!
 
Kuna jamaa zangu wapo hapa ni kama 8 hivi wamepanga waende shop moja hapa town ya hii mitandao ya kishenzi ila sitaji jina nia na madhumuni wanataka kujua pesa zao zimeenda wapi maana waliweka vocha za buku kila mtu jana usiku na hawakujiunga na kifurushi chochote..leo wamekuta salio ni sh 3. Sasa endapo wakijibiwa vibaya na muhusika yeyote yule watakaye mkuta . basi wanashusha kipigo kuanzia customer care hadi manager. Na wameshaandaa mwandishi wa habari...maana tukiwachekea hawa watazidi sasa. Na wamesema wapo tayari kulala polisi.
Kweli mkuu, hatua iliyobaki ni kuchukua sheria mkononi!

Sasa hivi ukipiga 100 hakuna option ya kuongea na mtu wa customer-care, na ukifanya 'many selections' wakati unatafuta hiyo option unaambiwa umekatwa Tshs. 60/-.

Bado kuna vichefuchefu wamekaa ofisini wanatoa lugha nyepesa... pμmb@\/μ sana!
 
Kuna jamaa zangu wapo hapa ni kama 8 hivi wamepanga waende shop moja hapa town ya hii mitandao ya kishenzi ila sitaji jina nia na madhumuni wanataka kujua pesa zao zimeenda wapi maana waliweka vocha za buku kila mtu jana usiku na hawakujiunga na kifurushi chochote..leo wamekuta salio ni sh 3. Sasa endapo wakijibiwa vibaya na muhusika yeyote yule watakaye mkuta . basi wanashusha kipigo kuanzia customer care hadi manager. Na wameshaandaa mwandishi wa habari...maana tukiwachekea hawa watazidi sasa. Na wamesema wapo tayari kulala polisi.

Namimi yamenikuta nilikuwa na zaidi ya buku nne leo hii nakuta msg eti sina salio la kutosha. Kufungua imebaki tsh. 11, pumbavu zao na wote wanaowahusu hivi naelekea vodashop kukinukisha. Potelea mbali
 
Nionacho huku kwenye mitandao ni dua la kuku, kama kawaida, wa-Tz tunalalamika mitandaoni.
Alafu nimeisoma hii mitandao, UKIONA hizi 'bahati nasibu' kubwa kubwa, ujue kuna kupanda kwa bei kunafuata.
 
G O O D B Y E E E
VODACOM
KAZI IMEWASHINDAAAAA
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!.......... 👹 📌 🔧
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII HATA
MUKTASARI WA GAZETI LA MWANASPORT SIPATI......sambaza had ifke voda😡
 
Hao vijana unaowategemea leo wote wamekasirika vifurushi vya bundle vimeshushwa zaidi ya asilimia 400 kwenye upande wa internet, wakati huo huo serikali inatuambia tuko kwenye ulimwengu wa science na technolojia kwa gharama hizi hatuwezi ku-afford hata siku moja.Mb8 huwezi peruzi chochote kwenye internet.

Waziri wewe ndio una dhamana na hili, in this you are out brother, tegemea hata maandamano.

Urais tegemea kura za ambao hujawakwaza kwa hili.
Nchi ya kitu kidogo
 
Makamba mpaka awe 'rais' ndo ataweza ku-control hii kitu.
Alafu ni pusssy kweli huyu makamba, siku hizi akiulizwa swali lolote la changamoto za mawasiliano ya simu, jibu lake lazima alitetee kwa kuwanukuu kampuni ya Viettel, yaonyesha matumaini yake yote kaweka humo.
Samahanini, Hizi Makamba kasomea kitu gani??
 
Kile kikampuni cha SMART nacho kimezubaa sana, hii ndo fursa ya 'kuwapoteza' hawa watu kwenye ramani.
 
Tanzania is the greatest nation in the world! TCRA ongezeni bei na ile kodi ya Tshs 1000 ya simu kadi iwe 5000 kwa mwezi, hadi pale Watanzania watakapotia akili, kutwa nzima kulalamika bila maamuzi!
 
Mkuu vip saiv umekimbilia wapi maana na Airtel wameshafanya yao!?

Airtel bado ni affordable network of all times....

Nikijiunga vifurushi vya data tupu napata 2.5 GB kwa 2500/= kwa wiki unaona unafuu huo?

Kile kifurushi Chao cha uni 255 bado unapata 1gb kwa 1500 kwa wiki....
 
Back
Top Bottom