Bado yupo. Kuna mzushi mmoja alianzisha thread humu ili kutuzuga.Hivi yule jamaa bado yupo huko wizarani si nilisikia amekuwa replaced?!
Kwa mtazamo wako huo sina tatizo na hoja yako. Upo sawa. Sasa tuachane nayo? Ataeleweka au atakuwa anahujumu legacy?Sidhani ni kila mtu anaweza kusifia kitu kitakachomuuza . Miradi ni mizuri ila isiwe mzigo kwa raia....
Mie alivyompeleka Mwigulu Fedha MTU mwenye Tabia za kuumiza, kuua, kutesa nikajua huyu Bibi Tarabushi hata yeye ana roho hiyohiyo anajificha kwenye ushungi.Sasa kama yule mbwiga Mwigulu ndio mshauri wake mkuu wa maswala ya uchumi , unategemea nini Gavana naye ndiokabisaaaaa analewa mpaka anakunya kwenye nguo mnategemea nini kwenye nchi ya namna hii, labda Yesu arudi tena ndio kutakuwa na mabadiliko yoyote, Mama amefeli mapemaaaaa
Mzee baba kumbe nawe kama mimi,lile bando la Airtel kipindi kile usiku bure ilikuwa poa sana yaani,haitakuja kutokea tena katika maisha yetu hapa duniani......Kwa hii serikali inayoongozwa na CCM tena mwanamke?
Nimeangalia season nyingi sana ya mabadiliko ya vifurushi tangu kipindi kile natumia free internet ya Airtel kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 6 asubuhi.
Usitegemee unafuu wa vifurushi kwa sasa. Nilikuwa natumia sana Tigo lkn tangia mwaka juzi nimeiweka kwenye droo.
Hebu funguka zaidi....Tatizo ni msoga.
Ndio hivyo Mkuu, no way out.Na hii ni mbaya sana katika issue ya customer care