Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Kuna kitu naona hawa marunga marunga uja kuchota taarifa na maarifa kisha ujimaarisha.
Mfano kuhusu D9 wangekuwa hawapuuzi wasingeweka wanajeshi barabarani sababu nao wapo wakifatilia.
Umeona kitendo cha kutishia kuwa anaweza kufa kimemfanya kuongeza ulinzi wa hali ya juu ukilinganisha zamani,mpaka na wagaga kutoka kote.
Tukinyamaza kimya wiki moja bila kuweka lolote kwenye mitandao ya kijamii lazima watachanganyikiwa wakitaka kujua What next
Mfano kuhusu D9 wangekuwa hawapuuzi wasingeweka wanajeshi barabarani sababu nao wapo wakifatilia.
Umeona kitendo cha kutishia kuwa anaweza kufa kimemfanya kuongeza ulinzi wa hali ya juu ukilinganisha zamani,mpaka na wagaga kutoka kote.
Tukinyamaza kimya wiki moja bila kuweka lolote kwenye mitandao ya kijamii lazima watachanganyikiwa wakitaka kujua What next