Mitandao ya Kijamii Inapocheza na Haiba ya Kuvutia ya Haji Manara

Mitandao ya Kijamii Inapocheza na Haiba ya Kuvutia ya Haji Manara

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
22,454
Reaction score
32,980
Vijana wana vipaji vya ubunifu wa hali juu kupita kiasi.

Kipindi nilichofanya mada ilikuwa nyingine kabisa lakini kipindi kilipokwenda hewani na kutazama picha iliyowekwa hawa vijana niliwavulia kofia.

Muda si muda watazamaji wanagota laki +.
Na ukweli hawa hawakunifuata mimi.

Wamemfuata Haji Manara.
Hebu na wewe shuhudia akili za hawa watoto zinavyofanya kazi:


View: https://youtu.be/Lp08epJODXQ?si=zepBASmCIoQTAEs_
 
Vijana wana vipaji vya ubunifu wa hali juu kupita kiasi.

Kipindi nilichofanya mada ilikuwa nyingine kabisa lakini kipindi kilipokwenda hewani na kutazama picha iliyowekwa hawa vijana niliwavulia kofia.

Muda si muda watazamaji wanagota laki +.

Na ukweli hawa hawakunifuata mimi.

Wamemfuta Haji Manara.

Hebu na wewe shuhudia akili za hawa watoto zinavyofanya kazi:


View: https://youtu.be/Lp08epJODXQ?si=zepBASmCIoQTAEs_

Wewe ndio huyu mzee??

Nisamehe kama nimewahi kukujibu vibaya
 
Back
Top Bottom