Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
JK has to endure rain of abuses and criticism from the public as part of price he has to pay for his role in deepening this country's level of poverty.
Kwa muda mrefu mitandao ya kijamii imekuwa ikitumika kumchafua Rais JAKAYA KIKWETE kwa mambo ambayo hayahusiani kabisa na majukumu yake ya kuongoza serikali.
Yapo mambo mengi ambayo watu kupitia mitandao wamekuwa wakimchafua Rais na hapa nitatoa michango michache tu:-
1) Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne ya mtoto wake aitwaye MWANAASHA KIKWETE yametumika sana kumchafua JK.
2) Thread iliyoletwa hapa JF na kichwa cha habari "Maswali mia moja kwa Rais KIKWETE" yakiwemo yaliyohoji ana wake wangapi na mengine mengi yalioonekana ni ya kumchafua Rais zaidi na hayakuwa ya kiutendaji.
Yapo mengine mengi ambayo kiukweli hata kurudia kuyaandika hapa hayafai.
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 15/02/2012 katika ukurasa wake wa Tahariri (The Editorial page) mhariri ameandika kuhusu hili kwa kichwa cha habari "Mitandao isitumike kumchafua Rais". Amebainisha kwa uwazi na kuonya wanaomiliki mitandao hiyo wawe wanahariri na habari zinazotumwa kabla ya kuziandika katika mitandao yao.
Refference: Tanzania Daima la tarehe 15.02.2012
Inaonekana huyu VGL ndo kamlipa mhariri wa TZ Daima atoe tahariri hii, halafu kaileta na thread huku, inaonekana huna kazi,we huyu rais kakusaidia nini mpaka leo?watoto wa kawaida wakifaulu wameiba mtihani,eti majibu yanafanana,malipo hapahapa duniani,unasoma academia,unapata kila kitu na unapata four vilevile.Hakuna anayepinga hilo, lakini si kiasi kilichofikiwa kwa sasa cha kumuondolea hata utu wake kwa matusi na kashfa zisizo na maana. Katika hali ya kawaida hata wewe usingekubali haya. To be a public figure is not the reason for this.
Kwa muda mrefu mitandao ya kijamii imekuwa ikitumika kumchafua Rais JAKAYA KIKWETE kwa mambo ambayo hayahusiani kabisa na majukumu yake ya kuongoza serikali.
Yapo mambo mengi ambayo watu kupitia mitandao wamekuwa wakimchafua Rais na hapa nitatoa michango michache tu:-
1) Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne ya mtoto wake aitwaye MWANAASHA KIKWETE yametumika sana kumchafua JK.
2) Thread iliyoletwa hapa JF na kichwa cha habari "Maswali mia moja kwa Rais KIKWETE" yakiwemo yaliyohoji ana wake wangapi na mengine mengi yalioonekana ni ya kumchafua Rais zaidi na hayakuwa ya kiutendaji.
Yapo mengine mengi ambayo kiukweli hata kurudia kuyaandika hapa hayafai.
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 15/02/2012 katika ukurasa wake wa Tahariri (The Editorial page) mhariri ameandika kuhusu hili kwa kichwa cha habari "Mitandao isitumike kumchafua Rais". Amebainisha kwa uwazi na kuonya wanaomiliki mitandao hiyo wawe wanahariri na habari zinazotumwa kabla ya kuziandika katika mitandao yao.
Refference: Tanzania Daima la tarehe 15.02.2012
Rais anahusika vipi na matokeo ya mtoto wake? uzumbukuku huu.
masaburi.
Baba yangu angekuwa Rais angesemwa vilevile.....kuna watu hawakanyagi baa baada ya watoto wao kufeli kwa kuogopa maneno sembuse Rais?
Kwani mtoto wa raisi akisoma shule hapa au nje mtanzania wa kawaidi kama mimi na athirika vipi?JK angeweza hata kumpeleka mtoto wake nje na tusingejua yote haya. Amesoma shule za ndani kwa nini tusimpongeze kwa hilo.
ritz wakati mwingine sijui huwa unakuwa na akili ya jinsi gani, kweli nyani haoni kundule!Mkuu, wewe ni mkongwe humu JF lugha unayotumia wala aipendezi, new members unadhani watajifunza nini kutoka kwa wakongwe kama nyie!