Mitandao isitumike kumchafua Rais

Mitandao isitumike kumchafua Rais

ukiona watu wenye akili na taaluma zao wanatumia mda wao kujadili maisha binafsi ya viongozi ujue wanatakiwa kulazwa I.C.U MIREMBE
 
Hapa mhariri naye anajipendekeza tu kwa JK! Mbona kuna mambo mengi yanajadiliwa humu kuhusu utendaje mbovu wa Kikwete na hasemi? Suala la madaktari mpaka leo hajasema lolote hadi leo na watu wamelijadili humu mbona huyo mhariri hasemi? Kuchafuliwa kwa Kikwete ni kutokana na utendaje wake mbovu na wala si vinginevyo? Kama JK angekuwa kiongozi imara, mwenye kufanya maamuzi sahihi na ya haraka kwenye mambo muhiimu ya nchi tusingeshuhudia yeye kuhusishwa na matokeo mabaya ya mtoto wake Mwanaasha!! All in all inakera sana wahariri kama huyu wa Tanzania daima kujipendekeza kwa JK!
 
kama kweli wote tulipitia posts baada ya tukio matokeo ya mwanaasha tunakubaliana kwamba mjadala ulihama kutoka kwa mtoto kwenda kwa baba.

Baba anapimwa kwa mafanikio ya familia yake. haya sasa Riz 1 kashakuwa fisadi, Mwanaasha kalamba IV. tuna baba kweli hapa?? Je ataweza kulea watoto wa wenzie kweli (akina Kayumba)???
 
wenze2 wazungu wenye akili mara nyingi kabla hawajagombea nafac hizi za kisiasa.. wanakaa na familia zao kwanza.. wanaelewa unapoingia kwenye siasa ni sawa na kuamua kuvua nguo hadharani.. so hauwi uamuzi wa wake binafc.. ila unakuwa ni uamuzi wa baba na mama na watoto.. Jenerali Collin Powell alishawishiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais marekani.. lakini baada ya kukaa na familia yake.. alikataa kabisa kujiingiza.. ukishakuwa mwanasiasa unakuwa sawa na taulo..

Kwa nguvu aliyokuwa nayo KIKWETE kama familia yake ingemzuia kugombea Urais mwaka 2005, asilimia 99 ya watanzania wangeandamana kuishinikiza!
 
kikwete ni kiongozi anaeishi maisha ya wananchi wake.yeye mwnyw amesoma shule za humu humu,kazi ameanzia vijijini tena singida watoto wake ndio hao wanasoma ktk shule hizi hizi za yebo yebo.hawa wenye gubu wanaoropoka humu hawana uzalendo.
 
kikwete ni kiongozi anaeishi maisha ya wananchi wake.yeye mwnyw amesoma shule za humu humu,kazi ameanzia vijijini tena singida watoto wake ndio hao wanasoma ktk shule hizi hizi za yebo yebo.hawa wenye gubu wanaoropoka humu hawana uzalendo.

FEZA Academy shule ya yebo yebo? Kamuzu Academy shule ya yebo yebo?
 
Hapo kwenye red Safari_ni_Safari sijui kama umetumia kiswahili vizuri.... nilifuatilia sana na kuchangia hoja unayoisema, lakini ni watoto wangapi wa wakubwa na wenye fedha wanafeli mitihani huku wakiishi katika mazingira bora na shule wanazosoma ni nzuri? Unataka kuniambia mwanaasha ndiyo wa kwanza? Na pengine tu unieleze, kufeli kwa huyu binti kuna uhusiano gani na urais wa baba yake?

Uchafu ni uchafu ili uwe msafi lazima uuchukie . Tumsipomchafua ataogaje
 
Baba anapimwa kwa mafanikio ya familia yake. haya sasa Riz 1 kashakuwa fisadi, Mwanaasha kalamba IV. tuna baba kweli hapa?? Je ataweza kulea watoto wa wenzie kweli (akina Kayumba)???

huna hoja..watoto wa nyerere akina makongoro walikuwa walevi wa gongo arusha lakini nyerere alibaki na msimamo na uzalendo wake adi leo tunamkumbuka kwa mazuri yake,hatuangalii watoto.
 
Mtoto akifanya vizuri kwenye jambo lolote mzazi huwa anasifiwa pia mtoto akiwa mchafu mzazi ndo wa kwanza kulaumiwa kwa kushindwa kumtunza vizuri
 
FEZA Academy shule ya yebo yebo? Kamuzu Academy shule ya yebo yebo?

quote_icon.png
By Rais wa migomo
kikwete ni kiongozi anaeishi maisha ya wananchi wake.yeye mwnyw amesoma shule za humu humu,kazi ameanzia vijijini tena singida watoto wake ndio hao wanasoma ktk shule hizi hizi za yebo yebo.hawa wenye gubu wanaoropoka humu hawana uzalendo.

Rais wa migomo kila nikitafakari post zako nashindwa kukuelewa. huyo Mwanaasha wala hayupo tena TZ. Alipomaliza hiyo form four alipelekwa ughaibuni. sasa uzalendo upi unaouzungumzia wewe? Hiyo FEZA ni shule ya kata??????
 
huna hoja..watoto wa nyerere akina makongoro walikuwa walevi wa gongo arusha lakini nyerere alibaki na msimamo na uzalendo wake adi leo tunamkumbuka kwa mazuri yake,hatuangalii watoto.

Hapo kwenye red kuna walakini. Huwezi kumbuka mtu kwa mazuri yake tu. Hata Adam na Eva walikuwa na mabaya yao na ndo mwishowe tunaenda motoni kwa ajili yao (kwa imani). Nyerere alikuwa na mabaya yake pia. Fikiria kwa kutumia medula oblangata mkuu
 
Mkuu sikubaliani na wewe kuhusu matokeo katika level ya sekondary. Ingekuwa level ya higher education tungekuwa ukurasa mmoja. Unachotakiwa kujua kuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya wanafunzi wa sekondary kurudi chini na vyuo vya juu.

Wanafunzi wa sekondary wengi wao ni dependants na walezi wana haki ya kuyajua matokeo ya vijana wao bila kuficha. Tunaficha nini?, tena kwangu mimi hii ni motivating factor ya kuwafanya watoto wajitume sana kusoma kwani wasipofanya hivyo matokeo yao yatawaumbua. Mimi nina kijana wangu ninamlipia pesa nyingi sana, kila nikimuuliza matokeo ananiambia jina lake halipo. Kabla sijaenda kufuatilia nikaingia mtandaoni na kukuta amepata Div iv. Je si nimeepuka usumbufu?.

Hawa watoto ni wajanja sana. Hawasomi na kutudanganya wazazi. Mimi ninakubaliana kabisa na utaratibu huu wa kuanika majina public. Huko nyuma baraza walikuwa wanaweka namba tu, na matatizo waliyokutana nayo nafikiri ndiyo yamewafanya kuweka majina. Kuna wakati namba zinakosewa na kufanana ila kama kuna jina pembeni unaondoa utata.

Kuhusu mtoto wa JK kuwekwa mtandaoni that was unfortunate. Nilikemea sana kumshambulia mtoto kama mtoto kwa sababu tu baba yake ni mkuu wa nchi. Tupo wazazi wengi sana watoto wetu wamefanya vibaya sana. Uzembe hauna 'genes'. Ila kwa upande mwingine sioni kama kufanya hivi ni kumchafua rais, unamchafua kwa lipi?. Nafikiri nature ya kazi aliyo nayo Jakaya Kikwete, inamuweka kwenye spot light, hivyo kumzungumza vibaya au vizuri yote ni matokeo ya kazi aliyo nayo. Kama hutaki kuzungumwa vizuri au vibaya usijiweke kwenye Public spotlight (Ie usi-contest for public office)

Ukiingia katika mitandao ukaona jinsi Obama anavyoongelewa vibaya utachanganyikiwa. Ila kinachofanya hivyo si yeye bali ni ofisi aliyoishika. The only thing kujiweka kwenye good mood kama wewe si mvumilivu ni kutokuingia mitandaoni na kusoma criticism dhidi yako. Fanya kazi tu, waache watu waongee. Huwezi kuzuia watu kuongea/kuandika kwenye mitandao. Na ukifuatilia utakuwa mwendawazimu. Ndiyo maana mimi huwa nikiwasikia maafisa usalama wakitolea ufafanuzi maandishi ya kwenye internet huwa nawaona kama wamechanganyikiwa. Kazi yao ingekuwa ni ku-monitor maandishi yanayoweza kuhatarisha usalama wa mtu na kuyaangalia ukweli wake. Ila siyo kuangalia mipasho dhidi ya rais.

Mkuu, nakubaliana kwa kiasi kikubwa na hoja ulizotoa. Ila baraza/wizara waangalie na upande wa pili wa trauma these children are going through (nina maana watoto waliofeli). Kuna wengine wanafikiria hata kujitundika, etc.
 
FEZA Academy shule ya yebo yebo? Kamuzu Academy shule ya yebo yebo?

unazifananisha hizo na zile za nje ya nchi ambazo baba yako amesoma akakusomesha na ww?be critical mama ww usiropoke
 
ukiona watu wenye akili na taaluma zao wanatumia mda wao kujadili maisha binafsi ya viongozi ujue wanatakiwa kulazwa I.C.U MIREMBE

Ukishakuwa Raisi wa Nchi, huna maisha binafsi na ndio maana popote anapokuwa lazima TISS wawepo. si tungekuwa tunakutana naye baa na disco kama zamani. Lolote afanyalo now linakuwa la kitaifa maana ndo mkuu wa taifa. Angalia hata kwa wenzetu, hata kama ulikuwa na kimada miaka 20 iliyopita, inaweza kuku cost usiukwae uraisi. Mh kwani ya Clinton umeisahau mkuu?? Au hujui siasa nini?
 
Sidhani kama ni kumchafua, maana kama ni usafi mtoto wake angesoma Lugoba Secondary School au shule nyingine ya kata kama kweli ni uzalendo. Lakini mtoto anayefeli akisoma kwa WATURUKI wanoonekana kuendesha shule vizuri, ujinga ni pale mzazi anaposhindwa kuangalia mwenendo wa masomo wa mtoto wake na kuchukua hatua. Wenye matokeo yake ya kidato cha pili watusaidie. Lakini pili wasingemfukuza wakati asipotimiza wastani na sera ya JK ni kutokuwa na wastani katika darasa lolote hadi chuo kikuu. Kukamatwa kumefutwa na hakuna haja ya kudesa pia!!

Pili hivi ni mtoto wa Salma Kikwete au...? Simchafui naulizia!
 
Naona unataka kuleta mambo ya SOPA na PIPA hapa nchini wakati dunia nzima inapinga system hizo. Na we hebu jiulize 'ni kwanini anajadiliwa?'
 
ukiona watu wenye akili na taaluma zao wanatumia mda wao kujadili maisha binafsi ya viongozi ujue wanatakiwa kulazwa I.C.U MIREMBE

At least umejua tuna akili na taaluma zetu, kwa hiyo ujinga wako si tatizo sana. Lipo jambo moja tu ndio hulijui; mpk hapo na wewe unatujadili sisi badala ya mada
 
Mkuu, nakubaliana kwa kiasi kikubwa na hoja ulizotoa. Ila baraza/wizara waangalie na upande wa pili wa trauma these children are going through (nina maana watoto waliofeli). Kuna wengine wanafikiria hata kujitundika, etc.

Mimi huwa nafikiria kujitundika naposikia Lowasa na Chenge wakishirikiana na Karamagi wamechukua majipesa ya nchi na kuweka kwenye akaunti zao za nje. Naomba ukataze na hilo mkuu
 
Back
Top Bottom