Mitandao isitumike kumchafua Rais

mtoto c anafuata akili za baba yake na mama yake.....................? hapo lazima asemwe
kama hataki hatumlzimishi ila kusema tunasema.
 
Alie JMK mwenyewe. TD na wengine mngenyamaza tu WATANZANIA hatukawii kusahau na kusonga mbele. Mara nyingi jambo la kweli haliumizi sana.
 
Ambacho wangefanya TD ni kupata uthibitisho kama kweli mtoto anayeongelewa ni wa JMK na Salma wa kuzaa? Inawezekana akawa yatima aliekuwa adopted na familia ya Rais wetu. Urais hauna mtoto ila JMK anao watoto kadhaa. Angalau sio TD ya akina Kibanda na Ngurumo inayoweza kumhurumia Rais wetu wa sasa!
 
wanamchafua au wanasema ukweli?

Pamoja na kuwa ni ukweli, naongezea hapo, ni kwamba akiwa kioo cha jamii, mara tu anapoingia kwenye utumishi uliotukuka anatakiwa aelewe kwamba matendo yake maisha yake n.k vinahusishwa moja kwa moja na nafasi yake kwa jamii!
 
Sisi huku vijijini tunaambiwa kuwa ili mtoto aweze kufaulu mzazi lazima afuatilie, asimwachie mwalimu peke yake. Sijui kama nadharia hii inaapply hata huko Feza. Kama inaapply then nani alaumiwe kwa suala hili?

baba yupo busy na safari za nje ya nchi, hadi anasahau majukumu yake kama Baba wa Familiya katika kufuatilia Elimu ya mtoto.

Nani wa kulaumiwa hapa kama baba hajatimiza majukumu yake??

LAZIMA NISEME, LAZIMA NISEME, HATA UKINIZIBA MDOMO LAZIMA NISEME, HATA UKINIMWAGIA MAJI WASHA LAZIMA NISEME, HATA UKINIPIGA BOMU LA MACHOZI LAZIMA NISEME.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
sikubali wala kukataa kinachojadiliwa, ila najaribu tu kuwaza,

Kama Mwanaasha Jakaya Kikwete angepata Division 1 na au angeongoza katika kumi bora ingekuwaje?

Maana lazima watu tungemsifu kuwa mtoto wa raisi kapasua kwenye mitihani yake, je, mngelalamika pia kwamba tuna'mkashifu' mtoto wa raisi?

At the end of the day as long yeye ni raisi hakuna cha maisha binafsi, tutamjadili kwa jema au baya, awe tayari kukubali tu.

You have touched it.....

Tumjadili kwa mema na mabaya yake as ni kiongozi wa nchi hii hata kama mtu hakumpigia kura na kila analofanya linatuhusu wote


Lakini tukubali kwamba kumtukana si sahihi kabisa by any stretch........hata dini haitaki jamani....

Mchangiaji mmoja kasema hapo juu kwa mfano amekulia na kulelewa katika mazingira bora....why afeli mtihani?? This is objective....
Lakini mtu anaandika hana akili kama baba yake..........!!!!!!!! This is not rite neither objective

Hivi kwa matusi ndo tunaboresha utendaji wake????
 
Uhusiano uliopo ni kwamba yeye ndio mwenye dhamana ya elimu hapa nchini.

Kwa muda mrefu elimu imeendelea kushuka bila hatua zozote madhubuti kuchukuliwa.
Walimu wameendelea kudharauliwa na serikali, vitendea kazi shuleni hakuna.
Kufeli kwa halaiki, wizi wa mitihani, ukosefu wa maabara, madawati,vitabu n.k..

Kufeli kwa mtoto wake ni kielelezo kizuri kushindwa kusimamia hata elimu ya mtoto wake.
Kama ameshindwa ya mtoto wake atapata wapi uwezo kuhakikisha Tanzania inatoa elimu bora kwa watoto wote na kuzuia hili tatizo la sasa la kufeli kwa halaiki. Ni lazima kwanza uwe kiongozi bora ndani ya familia yako ndio uweze kuwa kiongozi bora nje ya familia yako.

Wee Mtu Mzima, sielewi una utu uzima gani kama bado una mawazo ya mtoto wa nursery;

Laiti kwamba mtoto wa Rais angepata DIV 1, wewe ungekuwa wa kwanza kuandika hapa kuwa mtoto wa Rais amependelewa na Baba yake katumia madaraka aliyonayo ktk kuchakachua matokeo ya mwanae. Leo hii kapata DV IV unasema hayo unayoyasema. Huu ni UNAFIKI.

Mtoto wa rais kwani ni nani? ni mtoto km watoto wengine, wana mapungufu yao ya kibinadamu km watoto wengine. Ni bahati mbaya amezaliwa amejikuta ni mtoto wa Rais, angeweza kuzaliwa hata yoeahe yoyote yule.
Tabia ya kubagua watoto tuiache eti huyu ni mtoto wa Rais, kiasi kwamba mtoto wa kiongozi kupata DV IV ni sumu lkn kwa watoto wengine kupata DV IV ni sawa. Huu ni ulimbukeni.

Kama tunalazimika kujadili kufeli kwa Mwanaasha, tumjadili yeye binafsi; kwa nini amefeli wakati alikuwa na facilities zote, lakini tusimjadili baba yake wala kumtukana.
La kama una ushahidi kuwa Baba yake ndio sababu ya yeye kufeli kwa kuwa alikuwa hampatii facilities zinazotakiwa, hapo tutamjadili baba yake. BUT for this, is not fair kumtukana Rais na ni ulimbukeni.
Act as a sense man, and dont act like you have gone mental my frnd.
 
Huyu mwandishi anafikiri kwa masaburi..hili swala la huyu mtoto,limejadiliwa mitandaoni na mitaani mpaka vijijini kuliko hata mitandaoni.
 
ni Kweli kuna baadhi yetu hatujamtendea haki lakini tunajifunza kutokana na makosa, la msingi viongozi wetu wawe kioo cha jamii.. kwani Mtu mzima Mkapa alipoenda arumeru kuzungumza mambo ya familia ya nyerere yalihusiana vipi na kampeni za Arumeru. viongozi wetu wanasema mambo mengi ambayo hayaendani na ukweli wa mambo kwa hiyo na sisi tukipitiwa sioni cha ajabu litakayemkuna limemfika
 
Mimi nadhani hapa mwandishi ndiyo anafanya amplification of the dead issue. he is now getting the issue back to the public for yet another bombardment of Mr Presidaa.
 
nyie jadilianeni sana ila habari zilizovuja huyo mtoto yuko mbioni kuanza F5.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom