Mitaala mipya ya Elimu iendane na mitaala maslahi ya Walimu

Kilunguru

JF-Expert Member
Feb 2, 2023
334
448
Husika na kichwa Cha habari hapo juu,

Utekelezaji wa mitaala mipya uendane na upitiaji upya wa mitaala masilahi ya walimu, mfano;

1. Mpaka miaka ya Sasa mwalimu wenye Masters hawatambuliki kimuundo Wala kimaslahi, wakati nchi za wenzetu elimu kubwa na performance nzuri kimasomo ndo sifa ya kuwafundisha wengine.

2. Rais Samia amejitahidi sana kulipa maden ya walimu, tunaiomba serikali ipitie upya mishahara na masilahi ya walimu.

3. Tumeona walimu wakilalamika kwenye baadhi ya halmashauri zinawapigisha semina za MEWAKA walimu bure! Hii kitu inashusha morali ya walimu na ualimu tunaomba watafute njia nzuri ya kuwapa walimu seminar

4. Walimu endeeni kujituma na kusali sana achaneni na ulevi wa kupindukia na mikopo mitaani,

5. Maafisa Elimu na walimu wakuu mnaojiona miungu watu kutumia vyeo vyao kuwanyanyasa walimu, acheni hizo tabia wahudumieni walimu kwa busara na hekima kubwa kwasabu duniani tunapita na kazi tutaziacha/staafu hebu tuache record nzuri ya kuwatumikia walimu.
 
Mimi ninachokiona kwenye mfumo wetu elimu ilitakiwa kuwe na sifa mathubiti za mwalimu kuwa senior kwenye utumishi huu.

Hicho kigezo cha kuwa senior ndio ki-dertemine maslai yake na mshahara wake.

Mathalani, unataka kigezo ni utawala/ukuu wa shule/Afisa Elimu Kata/DEO ndio kiwe kigezo cha kuwa senior au unataka cheti/diploma/degree/masters/PhD kiwe ndio Kigezo au unataka Performance/ufaulishaji wa wanafunzi ndio kiwe kigezo cha mwalimu kuwa senior au kukaa muda mrefu kazini au level anayofundisha yaan msingi/sekondari??

Kushindwa kuweka bayana kigezo ndiko kunaletelezea haya uliyoleta.

Kila mtu anaamini lake mwenye masters au PhD anaamini yeye anatakiwa atambiliwe na awe juu haya mwenye performance nae anaamini hivyo hivyo hata aliepewa cheo cha mkuu wa shule au Afisa Elimu kata au Afisa elimu wilaya nae anaona yeye ndie top manyota.

Cha kustajabisha utakuta mwalimu wa darasani tu kawazidi wote mishahara. Sasa hapo mkubwa wa mwenzie sijui ni nani? Maana yake kwa mfano rahisi kabisa Mkurugenzi/mtawala/mkuu wa shule anazidiwa maslai au mshahara na anaewaongoza. Hii haina maana kiutendaji.

Vigezo hivi lazima viwe wazi sana halafu vigezo hivyo ndio viamue nani anakuwa mkubwa wa mweziwe.

Kwa sasa utashangaa hata watu walioanza kazi pamoja na wanafanana kila kitu unakuta mmoja yupo vyeo viwili mbele ya mwenzie kwenye halmashauri mbili tofauti

Hili linakatisha sana tamaa ingawa serikali inasema inalishughulikia. Yaan mwalimu anajituma kazini ila anapunjwa tu madaraja yake kwa sababu zisizoeoezeka
 
Mimi ninachokiona kwenye mfumo wetu elimu ilitakiwa kuwe na sifa mathubiti za mwalimu kuwa senior kwenye utumishi huu.

Hicho kigezo cha kuwa senior ndio ki-dertemine maslai yake na mshahara wake.

Mathalani, unataka kigezo ni utawala/ukuu wa shule/Afisa Elimu Kata/DEO ndio kiwe kigezo cha kuwa senior au unataka cheti/diploma/degree/masters/PhD kiwe ndio Kigezo au unataka Performance/ufaulishaji wa wanafunzi ndio kiwe kigezo cha mwalimu kuwa senior au kukaa muda mrefu kazini au level anayofundisha yaan msingi/sekondari??

Kushindwa kuweka bayana kigezo ndiko kunaletelezea haya uliyoleta.

Kila mtu anaamini lake mwenye masters au PhD anaamini yeye anatakiwa atambiliwe na awe juu haya mwenye performance nae anaamini hivyo hivyo hata aliepewa cheo cha mkuu wa shule au Afisa Elimu kata au Afisa elimu wilaya nae anaona yeye ndie top manyota.

Cha kustajabisha utakuta mwalimu wa darasani tu kawazidi wote mishahara. Sasa hapo mkubwa wa mwenzie sijui ni nani? Maana yake kwa mfano rahisi kabisa Mkurugenzi/mtawala/mkuu wa shule anazidiwa maslai au mshahara na anaewaongoza. Hii haina maana kiutendaji.

Vigezo hivi lazima viwe wazi sana halafu vigezo hivyo ndio viamue nani anakuwa mkubwa wa mweziwe.

Kwa sasa utashangaa hata watu walioanza kazi pamoja na wanafanana kila kitu unakuta mmoja yupo vyeo viwili mbele ya mwenzie kwenye halmashauri mbili tofauti

Hili linakatisha sana tamaa ingawa serikali inasema inalishughulikia. Yaan mwalimu anajituma kazini ila anapunjwa tu madaraja yake kwa sababu zisizoeoezeka
Mkuu! Umeongea vzuri sana, kwenye mashule unaweza ona boss kapitwa kila kitu na subordinate wake, salary, elimu, nk
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu,
Utekelezaji wa mitaala mipya uendane na upitiaji upya wa mitaala masilahi ya walimu, mfano;
1. Mpaka miaka ya Sasa mwalimu wenye Masters hawatambuliki kimuundo Wala kimaslahi, wakati nchi za wenzetu elimu kubwa na performance nzuri kimasomo ndo sifa ya kuwafundisha wengine.
2. Rais Samia amejitahidi sana kulipa maden ya walimu, tunaiomba serikali ipitie upya mishahara na masilahi ya walimu.
3. Tumeona walimu wakilalamika kwenye baadhi ya halmashauri zinawapigisha semina za MEWAKA walimu bure! Hii kitu inashusha morali ya walimu na ualimu tunaomba watafute njia nzuri ya kuwapa walimu seminar
4. Walimu endeeni kujituma na kusali sana achaneni na ulevi wa kupindukia na mikopo mitaani,
5. Maafisa Elimu na walimu wakuu mnaojiona miungu watu kutumia vyeo vyao kuwanyanyasa walimu, acheni hizo tabia wahudumieni walimu kwa busara na hekima kubwa kwasabu duniani tunapita na kazi tutaziacha/staafu hebu tuache record nzuri ya kuwatumikia walimu.
Kiukweli Kusoma sana hakukufanyi kuwa Mjuzi sana:
Tunatakiwa tutambue kuwa kila kiwango cha Elimu kinamaaana yake kwenye tasnia ya kitaaluma.
Mfano:
1. Basic Tehnician, Certificate ni Wasaidizi ofisini,

2. Diploma ni Waaaidizi wa Wataalamu,
3. Bachelor Degree ni Wataalam,
4. Master Degree ni Wasimamizi wa Wataalam,
5. PhD ni Wakufunzi wa Usimamizi wa Wataalam na
6. Profesor ni Wabobezi wa Utaalam kwenye Fani Flani na ni Waangalizi wa Ubora na Ufanisi wa Wasimamizi wa taaluma flani.

NB: Siwafokei Kabisaa ila ni Muhimu kuelewa Umuhimu wa Kila Kigezo cha Kitaaluma ili yusije tukajisahau. Kuna Mambo ya kuzingatia ili upewe madaraka kuendana na taaluma yako:
1. Maadili ya Kazi.
2. Nidhamu ya Kazi.
3. Uwezo wako wa Kumudu Majukumu yako.
4. Uwezo wa Kutatua Matatizo mahala pa Kazi.
5. Uwezo wa Kutumia taaluma yako kutimiza Malengo ya Taasisi Mfano wewe ni Mwalimu
na Una Masters lakini Watoto Wanapa F Masomo unayofundisha sidhani kama unatosha kuwa Msimamizi wa Walimu Wengine.
6. Ubunifu kwenye Kazi: Unatakiwa kubuni namna bora ya kufanikisha Malengo ya taasisi kuendana na taaluma yako.
Ushauri: Nyie Masters Holders+ Kuna Umuhimu wa Kuboresha hayo hapo na Mengine nina Uhakika Madaraka yatakuona wewe siyo wewe uyaone Madaraka.

Mwemweeeee tubhombeghe Imbombo
 
Kiukweli Kusoma sana hakukufanyi kuwa Mjuzi sana:
Tunatakiwa tutambue kuwa kila kiwango cha Elimu kinamaaana yake kwenye tasnia ya kitaaluma.
Mfano:
1. Basic Tehnician, Certificate ni Wasaidizi ofisini,

2. Diploma ni Waaaidizi wa Wataalamu,
3. Bachelor Degree ni Wataalam,
4. Master Degree ni Wasimamizi wa Wataalam,
5. PhD ni Wakufunzi wa Usimamizi wa Wataalam na
6. Profesor ni Wabobezi wa Utaalam kwenye Fani Flani na ni Waangalizi wa Ubora na Ufanisi wa Wasimamizi wa taaluma flani.

NB: Siwafokei Kabisaa ila ni Muhimu kuelewa Umuhimu wa Kila Kigezo cha Kitaaluma ili yusije tukajisahau. Kuna Mambo ya kuzingatia ili upewe madaraka kuendana na taaluma yako:
1. Maadili ya Kazi.
2. Nidhamu ya Kazi.
3. Uwezo wako wa Kumudu Majukumu yako.
4. Uwezo wa Kutatua Matatizo mahala pa Kazi.
5. Uwezo wa Kutumia taaluma yako kutimiza Malengo ya Taasisi Mfano wewe ni Mwalimu
na Una Masters lakini Watoto Wanapa F Masomo unayofundisha sidhani kama unatosha kuwa Msimamizi wa Walimu Wengine.
6. Ubunifu kwenye Kazi: Unatakiwa kubuni namna bora ya kufanikisha Malengo ya taasisi kuendana na taaluma yako.
Ushauri: Nyie Masters Holders+ Kuna Umuhimu wa Kuboresha hayo hapo na Mengine nina Uhakika Madaraka yatakuona wewe siyo wewe uyaone Madaraka.

Mwemweeeee tubhombeghe Imbombo
Kusoma hakumfanyi mtu kuwa mjuzi sana kwa kiwangi kipi? Ukilinganisha na mtu ambae hajasoma?
Kwahiyo mwaisa wanafunzi wanaofundishwa na maprof. hawapatagi F. Kwenye masomo yao sio
 
Mada za walimu sasa basi hapa Jamiiforums. Kama mkiona kazi yenu hailipi acheni. MSITUCHOSHE
 
Back
Top Bottom