Cheyo
Ngambo (Hapo ndo warembo wengi huwa wanatokea mitaa hii, ila tatizo nyumba nyingi za eneo hili zimewekewa mawakili zisianguke)
Itetemya (Wenyeji huita Itetemia)
National
Kiyungi
Chem chem (Kama vile N'gambo)
Mwinyi
Kitete
Kanyenye
Uhazili
Bachu
Gongoni
Isike
Check line (wenyeji wa tabora wainaita chekeleni)
Tumbi
Mihogoni
Bigwa
Igombe
Misha
Shitage
Mguluko
Milambo
Mihayo
Tabora by night
Orion
Golden eagle
Wadadu
Maua bar
Game
Ziro
Byaba's
Sonda's
John mongi
Las Vegas
People's
Ramka
Vatican n.k
Ahhh, Mbona sisikii vijiji vya Sikonge? SIKONGE (Usupilo, Misheni, Madukani...........) , Kisanga, Mlogoro, Mkolye, Tumbili, Igigwa, Mole, Tutuo, Ntankwa, Kasisi, Chabutwa (kumwa Nkeki), Pangale, Kipanga, Kiloleli, Mibono (Langwa), Usunga, Ukondamoyo, Lembeli, Utyatya, Kitunda, Imalampaka, Imalampazi, Igalula (Ya Sikonge), Lukula, Iwensato, Ngoywa, Mwanisenga na Mkinga. Kuna sehemu nimesahau......??????
Hivi ndo viwanja,dah raha tupu.Tabora by night
Orion
Golden eagle
Wadadu
Maua bar
Game
Ziro
Byaba's
Sonda's
John mongi
Las Vegas
People's
Ramka
Vatican n.k
Kweli mkuu na mambo wayaweza.dah kweli! pande za kanyenye! ila tabora kuna watoto bwana!
Poa kwa kutujuza poti.Ahhh, mkisikia John Legend, yule mwanamuziki kutoka USA kuwa yupo Tanzania, basi ujuwe anaenda Mbola, Tabora.
Sijui ilikuwaje akaamua kusaidia watu wa kijiji hicho..... Muone akiwa Mbola kama ulikuwa hujawahi kusikia....
John Legend travels to Mbola to help people in need Video by SHOW ME CAMPAIGN - Myspace Video
Yaani mmesahau nlipotekea mimi!!!
Mwamala,
Lububu,
Itobo,
Buhondo,
Senge,
Chamingh'wa
Ishinde,
Karitu,
Nawa,
Ijanija,[/QUOTE]
Hicho kwenye red kimenikuna sana,umenikumbusha mbali sana.