rodney matalis
Member
- Jul 12, 2015
- 56
- 44
Mbona unapotosha kwani wabunge wanamwakilisha nani bungeniTulisema ccm wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya madini baadhi ya watu wakashangilia upepo, leo tena wanaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii mitatu ijadiliwe kwa siku moja bila wananchi mbalimbali kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu na ccm wanaonesha rangi zao halisi. Yalifanyika kwenye madini 1997 ilifanyika kwenye gas na mafuta 2015 na yakatokea tena leo.haya ndio chanzo cha makinikinia na wizi, Watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa.