Miswada mitatu(3) ya kujadili masuala ya madini na maliasili yafikishwa Bungeni kwa hati ya dharura

Tulisema ccm wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya madini baadhi ya watu wakashangilia upepo, leo tena wanaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii mitatu ijadiliwe kwa siku moja bila wananchi mbalimbali kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu na ccm wanaonesha rangi zao halisi. Yalifanyika kwenye madini 1997 ilifanyika kwenye gas na mafuta 2015 na yakatokea tena leo.haya ndio chanzo cha makinikinia na wizi, Watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa.
Mbona unapotosha kwani wabunge wanamwakilisha nani bungeni
 
Kweli wameamua japo si nguli wa sheria miswada 3 ya maliasili za nchi kwa hati ya Dharura kweli?
 
Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo

1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa

2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:

i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017

ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017

Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.

Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.

Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017

Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017



=======

Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.

"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"

Hebu wekeni inputs acheni blah blah bana....leteni hoja za kizalendo kwenye miswada hiyo...Pingeni miswaada kwa hoja na sio kwa sababu imeletwa kwa dharura.

Maoni ya wananchi kuhusu nishati madini na maliasili yapo wazi toka enzi na enzi.
 
Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo

1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa

2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:

i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017

ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017

Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.

Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.

Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017

Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017



=======

Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.

"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"

Kwani bunge linaandaa miswada ya sheria?!!! Muswada kwenda bungeni ni kama utaratibu tu kwa maana mswada huandaliwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali na ukipitishwa na bunge hauwi sheria hadi Rais aukubali na kutia saini. Hivyo siku moja inatosha kabisa kwa bunge zima kupitisha hata miswada kumi.
 
Mambo ya kitoto,ghala wabunge hao hao wa chama kile kile waliopitisha sheria na kukosea kwa asilimia 99 wanaaminikaje?Bora wajadili kwa muda angalau week mmoja kila mswaada.
Kwa sababu they are not clever enough to discuss 3 issues simultaneously in one day!
 
Tuaiombea imalizike ikiwa upande wa maslahi ya mtanzania
Mbona ishu nzito kama hii itapelekwa tu kwanza tayari imeandaliwa tayri ikingia bungeni itakuwa ni kuliza tu kuwa wangapivwanaafi na wangapi wasio afiki basi.ili wake wazee waendelee kunusa na kukohoa kishibe.
 
Niko tayari kusahihishwa....Nadhani Tundu Lissu aliwahi kusema ili tuwabanevizuri wezi wa dhahabu zetu hatuna budi kubadilisha sheria zetu za madini kwanza....kama ndiyo hivyo basi tuzipitishe haraka hata hayo makontena yatakapo ondoka tupate fedha saafi na pia apongezwe.
 
Tulisema ccm wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya madini baadhi ya watu wakashangilia upepo, leo tena wanaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii mitatu ijadiliwe kwa siku moja bila wananchi mbalimbali kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu na ccm wanaonesha rangi zao halisi. Yalifanyika kwenye madini 1997 ilifanyika kwenye gas na mafuta 2015 na yakatokea tena leo.haya ndio chanzo cha makinikinia na wizi, Watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa.

Aahaaa!! Kwani wabunge si ndo wawakilishi wa wananchi. Wewe ulitakaje? Yaani watanzania milioni 20 watoe maoni yao? Aisee, haya bana.
 
KAMA ZINA UDHARULA ILI ZITUSAIDIE KWENYE SUALA LA MAKANIKIA YALIYOPO BANDARINI AM AFRAID TUMEPOTEA NJIA NA KAMA SI HIVYO HAKUNA HAJA YA KUWA NA DHARULA HIYO. WABUNGE WAPEWE WAJE NAYO KWETU WANANCHI, PIA IPITE KWA WADAU WOTE, WATAKAPORUDI BUNGENI NEXT TIME WAJADILI NA KUFIKIA MUAFAKA
 
Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo

1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa

2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:

i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017

ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017

Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.

Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.

Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017

Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017



=======

Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.

"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"

Heche analeta mzaha kwenye mambo mazito kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.
 
_20170629_180545.JPG
 
Kama maandishi yamepelekwa kwa lugha ya malkia ndio kabisaaaa imekula kwa wengine hapo,akili zao zote wanasubiriatu kugonga meza na sauti za ndiooooooooo zikirindima

Siku hizo tano ni muda wa vijembe,matusi,kero,pongezi na hatimaye adhabu kwa wale ambao hawatii kiti

Jaji Mkuchika nae anawasubiri,nami bando lipo napata habari za ndani ya bunge
 
Tatizo kuna watu always are pessimistic...hata ufanye lipi jema wataona unatwanga maji kwenye kinu....nikweli huko nyuma watu walitumia vibaya fursa ya uwepo wa kupeleka miswada ya dharura wakafanya yao....but currently the government is doing its activities in a good faith....tumuunge mkono Mh. Rais wetu.
Mkuu kufanya kitu kwa nia nzuri ni jambo muhimu sana lakini kitu hicho kinaweza kufanyika vibaya na kuathiri malengo. Hata amendments lazima zisababishe mswaada na sheria yote kusomwa upya ili kujua hayo mabadiliko yana maana gani. Huko nyuma tunajua haraka imesha tumika kuficha vitu lakini pia haraka inaweza ikaruhusu vitu ambavyo havija kaa sawa kupitishwa. Baada ya kelele zote zilizopigwa itakua jambo la ajabu kupitisha amendments bila majadiliano ya kutosha. I hope bunge litakubaliana ni muda gani unatosha kwa kazi hiyo kufanyika kwa weledi unatakiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom