Miswada mitatu(3) ya kujadili masuala ya madini na maliasili yafikishwa Bungeni kwa hati ya dharura

sasa utafanyaje mabadiliko ya mswada bila kwanza kupewa nafasi ya kuusoma na kuuelewa. tusipende kurahisisha mambo kisa tu tunabana matumizi
Wakubali kufanya kazi bila posho basi hata kwa wiki mbili tuone uzalendo wao!Otherwise ni wizi wa kodi, let us be honest
 
Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.

"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasrimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa".




kwahiyo kinachoendelea nikurudia yaleyale yaliyosababisha mali zetu kutoroshwa pasi na ugumu wowote? hivi haya maamuzi yanahitaji elimu kubwa sana?
 
Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.

"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasrimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa".
Sidhani kama ni kweli, na kama ni kweli nchi hii Tumelogwa
 
"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.

Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.

Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!

Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasrimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa".
 
Anaeamini kwamba bwana yule ana nia ya dhati kabisa, ni wa kuonewa huruma na kusubiriwa aje kugutuka mwenyewe wakati muda ukishakuwa jioni.. Kinachofanyika sasa ni political stunts.. Ndo maana unaona mikoani huko ni maandamano ya kumuunga mkono bwana yule..
 
Hakuna mswada mpya hata mmoja hapo. Hawa jamaa wanapenda kupiga kelele bila kuwa na substance. Serikali imepeleka amendments kurekebisha baadhi ya vifungu katika sheria mahsusi ili ku-backup (harmonise laws with financial appropriation Act 2017/18) ikiwa ni jitihada za sasa za serikali kukusanya 1% ya gross value (budget 2017/18) ya madini yanayosafirishwa kupitia minerals clearing centres (airports/bandarini/mipakani). Ni kuhakikisha kuwa nchi inanufaika zaidi na rasiimali za madini.
 
Jamaa wanapenda posho hawa....!Hivi kweli kuna ambacho hatukijui kwenye kurekebisha sheria za madini, gesi, na mafuta??Sio kwamba inaletwa miswada mipya hapana, ni ile ya zamani ifanyiwe marekebisho ambayo tayari tumeshayapigia makelele sana!Mnataka kuendelea kutafuna kodi zetu mpk lini???Rekebisheni miswada acheni kulalama, kwanza Heche sijui kama atatoa hata mchango!
Itakuwa vizuri ukitusaidia hapa hivyo vipengele vitakavyobadilishwa na sheria zipi mpya zitakazo pitishwa
 
Mtu yupo siriaz na taifa hili kuhusu rushwa, wizi, mikataba tata, ufisadi, nidhama ya mali za Umma ni Mh. Rais John Pombe Maghufuli sio ccm.
 
Usipokua makini unaweza tukana matusi mazito sana ila Mungu anisaidie tu hii nchi ni zaidi ya hovyo yaani ni kweli hapa hapa anatokea mtu mtu anaona ni sawa hiyo miswada kuletwa tena kwa dharura dah inauma sana yaani unakuta ni mtu na familia yake kabisa mmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom