Miswada mitatu(3) ya kujadili masuala ya madini na maliasili yafikishwa Bungeni kwa hati ya dharura

Kwani bunge linaandaa miswada ya sheria?!!! Muswada kwenda bungeni ni kama utaratibu tu kwa maana mswada huandaliwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali na ukipitishwa na bunge hauwi sheria hadi Rais aukubali na kutia saini. Hivyo siku moja inatosha kabisa kwa bunge zima kupitisha hata miswada kumi.
Bunge kazi yake sio ku - rubber stamp. Wanaitwa watunga sheria kwani ni wajibu wao kuelewa kilicho letwa mbele yao kukijadili na ikibidi kukibadilisha au kurekebisha. Na wanaweza kukataa kilicho mbele yao.
 
Niko tayari kusahihishwa....Nadhani Tundu Lissu aliwahi kusema ili tuwabanevizuri wezi wa dhahabu zetu hatuna budi kubadilisha sheria zetu za madini kwanza....kama ndiyo hivyo basi tuzipitishe haraka hata hayo makontena yatakapo ondoka tupate fedha saafi na pia apongezwe.
Kupitisha haraka haina maana kupitisha under certificate of emergency.
 
Lissu asikudanganye hata wakipewa posho wajadili mwaka mzima hawawezi badili chochote atakachotaka AG ndicho kitakachopita fullstop!
Kama ni hivyo basi hamna sababu ya kupeleka miswaada bungeni labda kama unaamini kazi ya bunge ni ku _ rubber stamp tu miswaada ya serikali na kutumia vibaya hela za wananchi kwenye hili.
 
Huuuuuuuh hhhmmmm Huuuuuuuh!!

I can only say:-
" A shadow of the human being it's not a human being" by Poise, JF. 2017.
 
upload_2017-6-29_19-19-49.png

(The Written Laws(Miscellaneous Amendments) Act, 2017 Bill )
'The Government shall have not less than sixteen non-dilutable free carrried interest shares in the capital of a mining company..' Badala ya 'sixteen percent' 'non- dilutable..'
Sasa sijui Serikali itapewa 16 'non-dilutable free carried interest shares' au 16% 'non-dilutable free carried interest in the share capital' hapa..
Makosa kila mahali..
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Tuaiombea imalizike ikiwa upande wa maslahi ya mtanzania
Hapahitaji maombi hapo. inahitajika nia ya dhati na uzalendo wa dhati usio na shaka. inashangaza sana MTU mzima anapotumia mbinu ileile kila xku kijaribu kutatua tatizo lilelile bila mafanikio. lzm MTU huyo awe ana shida ya kufikiri au anafanya kwa makusudi. ili atumie mazingira hayo kujinufaisha. not otherwise
 
Kama ni hivyo basi hamna sababu ya kupeleka miswaada bungeni labda kama unaamini kazi ya bunge ni ku _ rubber stamp tu miswaada ya serikali na kutumia vibaya hela za wananchi kwenye hili.
Hii inawezekana tuu mnapokuwa na wabunge wengi wasiojitambua. wasio na hoja zaidi ya kupiga meza na kusema kwa sauti moja ndiyoooooooooooooool
 
No new as a good news., Zile kelele za makinikia na kujifanya wako tayari kama nchi kuhusu madini hatimae wanaleta zile zile hati za dharura tena zijadiliwe kw siku 1.,

Naamini watagonga gonga meza then mbele kwa mbele.
 
Kwahili JPM na serikali yake wameteleza ...wanapita njia ile ile ...issues za madini zinahitaji mjadala mpana ....
 
Anasema hivi halafu anapeleka miswaada mitatu ya sharia ya madini nchini ijadiliwe kwa masaa machache na kupitishwa! Halafu kuna wale ZERO BRAINS wanataka kuandamana eti kumpongeza shujaa wao! Kweli fisadi haachi asili.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom