Hehehe!! Jibaba huo wimbo naupenda sehemu hii
hehehehe
ooh oooh oooh ooh!
leo kuna mambooo,
hadi sooo
mambooo
asie na mwana abebe ndoo
Dah! yaani we acha tu, hii kitu ni platinum aisee
Hiyo kitu bado mpya hata mwezi haijafikisha sema bado watu hawajaishtukiaDah! yaani we acha tu, hii kitu ni platinum aisee
Huyu bwana aliyeghani aitwa Ali Star ama?
kichwa cha nyoka-Jagwa - YouTubeDah! yaani we acha tu, hii kitu ni platinum aisee
Namuona ameingia kibiblia bibliaKatibu umemwona Queenkami?
nimeangalia date naona uko bikra badoHiyo kitu bado mpya hata mwezi haijafikisha sema bado watu hawajaishtukia
Katibu umemwona Queenkami?
hii ni mara ya pili unamwambia kloro juu yangu,ningependa kufahamu why kloro na sio The Finest,kiranga au Mwita?
why,why n why?
Okay, it's kind of a long (not that long) story. I don't think Kloro himself would want me to divulge too much about it. But that's not to say there is a whole lot of it or anything.
queenkami why queenkami why...hii ni mara ya pili unamwambia kloro juu yangu,ningependa kufahamu why kloro na sio The Finest,kiranga au Mwita?
why,why n why?
Tuli kitako nakaa, kwenye kigoda changu nang'aa
Uzee paso na busara, ni sawa na kunywa chang'aa
Nami sitaki kuwa pakacha, kama Ali wa kitaa
Naskiza kwa umakini, mnadi huyo Klorokwini
Amini nakuaminia, hata awe mchungu kama shubiri
Busara nimekujaza, hekima ziko pomoni
Hakika huwezi shindwa, Abadani asilani
queenkami why queenkami why...
Hahahhaa....niliisahau hiyo..
Ngoja nikulainishe kwanza. . .
Baba nakukubali, kwa zako nyingi busara. .
Zilobeba wako utu, ukaheshimu hata fukara. . .
Mwanao nakuheshimu, nisije kuwa hasara. . .
Niseme nini mie, baba yangu namba wani!
Mahitaji ulinipatia, mpaka nikanawiri. .
Heshima ukanifunza, nijue nini sahihihi. . .
Shule ukanipeleka, nisijechanganya fasihi. . .
Niseme nini mie, baba yangu namba wani!
Macho nilojaaliwa, uso yapendezesha. . .
Hakika yanapendeza, mwenyewe ushanijulisha. . .
Ndo maana vijana watapa tapa, usumbufu bado kwisha. .
Baba mkubali mkwe, wazushi watapotea!
Najua wamekuchosha, vijana kunivizia. . .
Wengi wao wakukera, amani kukumalizia. . .
Visimu vyao vyasumbua, usiku ukisinzia. . .
Baba mkubali mkwe, wazushi watapotea!
Mkwe nlokuletea, hakika namtambua. . .
Kwa hali hata mali, tayari kumchambua. . .
Kwa mapenzi yake ya dhati, macho amenifumbua. . .
Baba naomba umpokee, mkweo Klorokwini!
Ikibidi umweke kitako, maswali umuulize. . .
Mwenyewe uhakikishe, wasiwasi umalize. . .
Hana hila nakwambia, mwenyewe jiridhishe. . .
Kisha umpokee mkweo, bintio nakuomba!
Treach Verse - Aaliyah Ft Treach - Girl Like You