Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
- Thread starter
- #21
Jina lake kamili anaitwa Nuya Hellen Dausen amezaliwa 18th November 1986 jijini Dar
Yawezekana una makengeza bromFUKUNYUZI UKIMUANGALIA HUYU DADA NA AVATAR YAKO NI COPY KABISA, AU NI WEWE MWENYEWE NINI? TUAMBIE TUKUPE ONGERA ZETU
huyu amechanganya damu?
HII PICHA MGUU UMEELEKEA KUSHOTO NA MKONO UKO JUU YA PAJA
SASA ANGALIA HII YA CHINI
View attachment 9996 View attachment 9995
HAPO NILIPOPAZUNGUSHIA RED.,NI MACHO YANGU au? SIDHANI KAMA NI MWANGA ULIOPENYA KWENYE KIMVULI.HIZO PATCHES[an area of altered skin coulor] ZIPO MBILI WITH CLEAR visible Demarcations. SASA SIJUI TATIZO NI NINI?<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o></o>
<o></o>
SOMETHING MUST BE DONE.,,SABABU KUNA HATARI YA KUNYANYAPALIWA NA WENZAKE WAKIDHANI KUWA NI UGONJWA WA NGOZI WA KUAMBUKIZA.HASA KWENYE KUSHARE AU WAKATI WA KUOGELEA NA KUKUMBATIANA.<o></o>
<o></o>
<o></o>
HAYO MABAKA PIA YANAWEZA KUTUMIKA KAMA VIGEZO VYA KUMUATHIRI KISAIKOLOJIA.ILI APOTEZA MWELEKEO,NA HATIMAYE KUPOTEZA USHINDI.
SINA lengo la kumdhalilisha au kumkejeli NISIELEWEKE VIBAYA
NI MAONI TU NA MTAZAMO WANGU<o></o>
Mzee Mwanakijiji na wewe unakuwa kama Msukuma Bwana!. Hiyo rangi tayari ishakuchanganya kwikwikwi!. Usimwambie NN kama nimesema hivyo, Ha ha ha. What's up dog!.:gossip:huyu amechanganya damu?