Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,650
Kwani hujui JF 80% ni CHADEMA?JF week hii yote inamzungumzia Wema Sepetu hakuna cha madawa wala nini!
Nimeamini Huyu dada ana nguvu sana katika jamii yetu. Hata sisi wana CCM tumeshangazwa sana kumbe Huyu siyo mtu wa sport sport.
Naamini kuna kundi kubwa ameondoka nao kuelekea CDM ingawa hatutaki kukubali ukweli.
Najiuliza nguvu hizi zote anazitoa wapi???