Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mama yake wahamia CHADEMA kutoka CCM

Kuwa mzuri bila ya kuwa na akili ni sawa na dereva mwenye leseni lakini ajui kuendesha gari
Wewe ulitakaje??
Repucusion ya kuminywa saana ni kupasuka (bust)
imebust hiyo!!
Karibu CDM Bi Mkubwa na mwana. Si haba!!
 
Una chuma dhambi.unajua kesi aliyonayo ni ya kutumia madawa si kuuza
Naona hujanielewa vizuri mkuu rudia kusoma vizuri utaelewa nilichomaanisha.

Labda nikiweka hili bandiko utanielewa:

Ameandika wakili msomi Tundu Lissu.
___________________________________________________
Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu (kumbuka kilogram 1 ni gramu 1000. Sasa Wema anadaiwa kukutwa na gramu 1). Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku. Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi. Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi hakuna kesi.!
 
Ukiambiwa katoe ushahidi utaweza?? Jamani Watanzania mwenzangu Tusipende Watanzania wenzetu sababu ya chuki na utawala basi tuwatafitie maovu ya kupambika.

Inamaana alipo kuwa anatemeba na mama Suluhu Hassan alikuwa anavuta ngada na mkamuacha afe tu??Hapo ndipo shaka yangu ilipo.Acheni upumbavu huu UVCCM.

Chuki ya nini kwanza hata kesho yako huijui
Utakua hujanielewa labada kwa bandiko hili utanielewa:

Ameandika wakili msomi Tundu Lissu.
___________________________________________________
Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu (kumbuka kilogram 1 ni gramu 1000. Sasa Wema anadaiwa kukutwa na gramu 1). Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku. Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi. Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi hakuna kesi.!

Nini maoni yako??
 
Utakua hujanielewa labada kwa bandiko hili utanielewa:

Ameandika wakili msomi Tundu Lissu.
___________________________________________________
Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu (kumbuka kilogram 1 ni gramu 1000. Sasa Wema anadaiwa kukutwa na gramu 1). Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku. Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi. Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi hakuna kesi.!

Nini maoni yako??

Maoni ya nini sasa??Lissu amesema case aliyopelekwa nayo Wema. Ameongelea sheria unataka nini??Sasa unataka tutoe maoni gani??Kwamba Serikali imevunja sheria?? Au Lissu anaipa.angalizo polisi kwamba wanashindwa kabala maana wamekiuka sheria za nchi au unataka tuseme Madaraka hulevya??
 
Tukaneni sana Wema lakini uchaguzi wa 2015 aliwasaidia sana ccm kupata kura za nyongeza
Ni wengi wamechangia ila mchango hauwapi mamlaka ya kuwa juu ya sheria. Kwani kakamatwa Wema peke yake. Mbona wengine waliokamatwa hawahurumiwi. Wema ye yukoje. Kama mna huruma hata wengine nao wangehurumiwa. Hili la kutishia watu sababu ya Wema ndo naona ni upuuzi. Kwahiyo ina maana akiwasaidia Chadema 2020 wakaingia madarakani watamuacha afanye anachotaka? Maana naona ndo message unayotaka kututumia hapo!
 
Naona zile audio zinaenda kukanushwa.......
Nimemsikiliza wema pamoja na mama yake vizuri sana na nimegundua kuwa wema ni a spoiled child na anayemharibia sana ni mama mtu.
Msichana huyu amehusika kwenye controversies nyingi ambazo siyo nzuri lakini inaelekea amezilea mpaka kufika hapa.
Mama mtu anadai kuwa mwanawe amewekwa ndani, ameteswa na kupigwa lakini hakuona kiongozi yoyote yule nyumbani kwake [ila alipigiwa na viongozi 3] Hivi alitarajia nini? hivi kweli wema alipigwa na kuteswa? nimeangalia picha zake wakati anatoka ndani wala hakua na dalili zozote za kupigwa ila alikuwa embarassed and fatigued.
Hivi wema anatofauti gani na vijana wengine? Jee angekuwa hana hata chembe ya hatia kwenye sakata la madawa ya kulevya angepewa na mahama mwaka mmoja wa kuwa chini ya uangalizi na kupaswa kuripoti polisi kila mwezi???? Bahati hii wameipata vijana wangapi nchini?
Waswahili wana misemo 'Mwana umeleavyo ndiyo akuavyo' au 'samaki mkunje akiwa mbichi"
Kwa wao kwenda chadema siyo issue na ingekuwa vizuri zaidi kama angeenda huko mapema maana inasemekana huko vyeo vinakwenda kwa kujuana na sitaona ajabu iwapo mbunge mmoja wa kuteuliwa[chadema] aidha akajiuzulu[sic] au akaondolewa na msichana huyu kuchukua nafasi ya ubunge wa kuchaguliwa.
Kinacho uma ni kwamba baba yake wema alikuwa mcha mungu, mpole sana tofauti naye.
Mbona hatujasikia scandal za ndugu zake wengine??
Somo kwa vijana wengine ni kuwa 'Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu'
 
Baada ya kujitoa CCM na kujiunga Chadema, hatimaye Dada wa hiari wa wema , Mange amewaomba wabunge wa chadema kufanya mchango kwa kila mwezi ili wema aweze kujikimu wakati akikipigania chama

  • mangekimambi_Mi naomba nitoe nasaha kwa Chadema juu ya Wema mapemaaaa ili baadae tusije kulaumiana.
    .
    .
    Mi natoa ushauri kwa Chadema kuwa wawe serious na kumshikilia huyu mtoto mpaka 2020. She is a huge asset. Wasifanye mistake waliyoifanya kwa Wolper!!Kuna mtu aliedhani kuna siku Wolper atageuka?Wolper alitupa shida mnooooo kipindi cha kampenii, Yani alikuwa ndo kamanda wao namba 1 online.Ila baada ya kampeni kuisha mlimsahau kabisaaa... Ubunge viti maalum mkawapa mahawara na magirlfiend zenu ambao hawakuwa na mchango hata robo ya mchango wa Wolper.Okay basi acheni viti maalum, hata kumpa kifuta jasho Mbowe jamani?
    .
    Ngojeni niwaambieni kitu, tusidanganyane hapa kuwa mtu anaweza kukipenda chama akawa anakufa njaaa ila akakomaa na chama.So Mimi nawaambia Chadema although Wema anaapa Miungu yoooote kuwa kaja kwa roho moja na haitaji pesa, mwisho wa siku hakuna kishawishi kibaya kama njaa.Atajikaza mwaka au miaka miwili ila njaa ikimzidia shetani atamshinda.Na CCM mnawajua mbinu zao.
    .
    .
    So Mimi nawaaambia mapemaaa, Mbowe, Mdee , Easter Bulaya and the rest huyu mtoto 'mumshikilie'.She is going to be a huge asset to you kupata kura za watu wengi mnooo.Njaa isikie kwa mwenzio, so don't take her for granted!
    .
    .
    Nawapeni wazo tu, sio lazma mumuweke kwenye payroll ya chama Ila Baba Sasha, Lema, Professor Jay, Mdee, Easter, Mbowe, Mnyika,mkisema kila mwezi kila mmoja wenu achange laki 3 tu za kumsaidia Wema kujikimu hamtoshindwa.Haki hizo kidogo zitamsaidia kuishi na kujikimu na kukitumikia chama.Mkimwacha akapauka asije after 2 years 'akaimisss' CCM tukaanza kulaumiana Hapa. Njaa ni kitu kingine aiseee!
    .
    .
    Hata Wolper Alivyorudi CCM niliweka posti nikasema tusimlaumu Wolper , tuwalaumu Chadema, hawakumthamini, mtoto wa watu aliwasaidia mno.Asikwambie mtu Hata mtu apende chama vipi mwisho wa siku mkono lazma uende kinywani.
    .
    .
    .
    Mimi mwenyewe sometimes naishiwaga nguvu ya kazi Ila ni vile Magufuli ananiogopesha mnooo na issue ya demokrasia na udikteta so najikaza.Ila sometimes huwa natamani niage.So Trust me najua nachoongelea, msaidieni huyo mtoto.. Mapenzi bila pesa huwa ni Magumu sana, iwe mapenzi na mwanaume au na chama, bila pesa mapenzi hayanogiii..







© 2017 INSTAGRAM


Instagram

Find it for free on Google Play.
 
Kama nia yake ni kutafuta. Mshiko basi arudi ccm... Huku ni mapambano kula kwenu.. Chadema si chaka la wachumia tumbo na madaraka..
Wema ni nani Kwenye siasa za bongo? Eti ana followers 2mill..
 
Habari: Miss Tz 2006, Wema Sepetu na familia yake watakuwa na Press Conference Saa 5 asubuhi nyumbani kwao Sinza-Meeda.

Waandishi wote wanakaribishwa.

Hiyo ndiyo meseji ya kutoka kwa akina Wema wenyewe kwenda kwa waandishi Asubuhi hii.

=======





Wema akidai hajalipwa fedha za kampeni na CCM


Update: 1337hrs: Bado anasubiriwa Wema Sepetu hajafika, wanafamilia wengine akiwemo Mama yake na Baadhi ya viongozi wa CHADEMA ndo wapo.

1345hrs: Wema Amewasili na Kuanza Kuongea kama ifuatavyo:

⁠ ⁠Mama wema: Habari za mchana, nawakaribisha

⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: Kwa jina naitwa Wema Sepeti Isack Abraham
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: Naomba mnisamehe kwa kufika kwa kuchelewa
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: ⁠⁠⁠Sitakuwa na mengi ya kuongea, nataka kutoa tamko moja kutoka kwa Wema mwenyewe
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: ⁠⁠⁠Nimewaiteni hapa kuja kutamka rasmi kwamba hivi sasa nmehamia CHADEMA kutoka CCM
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: ⁠⁠⁠Sio kwa tuhuma zinazonikabili bali nmefanya maamuzi kama mtu mwingine yoyote

⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: Nyote mnajua nlikuwa kada wa CCM na nmepigania chama kwa uwezo wangu wote
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: 2015 niligombea ubunge viti maalum Singida na kura hazikutosha na sikufa moyo
⁠⁠⁠⁠
⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Wema: ⁠⁠⁠Marehemu baba yangu alikuwa kada nguli wa CCM na alipata kuwa hadi mshauri wa rais Zanzibar, Waziri na Balozi wa Urusi. Amekufa akiwa CCM

Wema:
Nimetuhumiwa hivi karibuni, wakati najitoa kwa hali na mali ndani ya CCM na niliamini hawatanitupa na haina maana kwamba nilitaka kubebwa hapana
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Kilichotokea kwangu kilikuwa ni uonevu
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Nimetafakari sana kwanini hili limetokea
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Kama mwanachama kimenivunja moyo. Tenda wema uende zako usingoje shukurani

Wema: Mimi naamin katika demokrasia. Nimefanya reseach yangu na hata wakati wa kampeni CHADEMA ilitupa tabu
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠CHADEMA inapigania demokrasia na mimi nataka uhuru wa watu
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Ningejua mapema ningenijiunga CHADEMA zamani. Najilaumu sana kuchelewa kujiunga CHADEMA

Wema:
Bado sijachelewa kufanya maamuzi. Na hii najua nimeingia kwenye vita na naamini watu wengi wapo wananiunga mkono
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Dola ifanye kazi zake na kifuata sheria kama dola. Ila wazingatie haki za binadamu
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Naamini ndani ya CHADEMA tunaweza kuleta mabadiliko nchini
⁠⁠⁠⁠
Wema: ⁠⁠⁠Kwa kupitia nguvu ya CHADEMA tunaweza pata ule uhuru tunaoupigania.

Tangu leo mimi sio mwanachama wa CCM. Mimi na mama tulikuwa wanachama hai wa CCM

Kwa upande wake mama Sepetu, alikuwa na haya ya kusema;

Mama Sepetu :Mmekuwa mnasema natoa mapovu,mimi sitoi mapovu

Mama Sepetu :
Uchungu wa mwana aujuae mzazi

Mama Sepetu :Nmehangaika sana mwanangu alipowekwa ndani

Mama Sepetu :Ningejua mapema ningejiunga CHADEMA zamani.

Mama Sepetu :Najilaumu sana kuchelewa jiunga CHADEMA.

Mama Sepetu :Wema hakuzungumza sana mimi sasa ndo nguli nazungumza

Mama Sepetu :Ametuhumiwa sana. Amekaa sero hamjamuona mwanangu akiwa alosto. Anayetumia unga wiki moja tu akikosa unga anaishiwa nguvu, Mtumia madawa anakuwa hivi?

Mama Sepetu :Hamna kiongozi wa CCM alokuja kuniuliza kulikoni

Mama Sepetu :Mpaka usiku wakina wema walikuwa wanafuatwa mahabusu na Makonda

Mama Sepetu :Haki za binadamu hazikuzingatiwa, watu wanaua wanapewa dhamana.

Mama Sepetu :Lakini yeye(Wema) kahangaishwa sana

Mama Sepetu :Mimi ni mwenyekiti wa CCM tawi la Nzasa kata Kijitonyama tulikuwa na kura nyingi 2015

Mama Sepetu :
Nchi hii Mambo hayaendi vizuri, Wengi hawataki kuzungumza wanauguliwa sana

Mama Sepetu :Sisi ni Watanzania tumebanwa tupo kwenye kitanzi

Mama Sepetu: Mimi kama mama nimesema siwezi kuteswa na mwanangu kudhalilishwa tukiwa chama cha mapinduzi

Mama Sepetu: Mwanangu amezunguka na CCM anainadi nchi nzima

Mama Sepetu :Tangu leo mimi sio CCM tena. Na nitatembea nchi nzima kukinadi chama cha demokrasia na maendeleo.

Mama Sepetu
:Nashangaa CHADEMA hawatupi kadi zao.

Mimi ni mwenyeji wa Singida. Baba katuacha tupo 72. Naenda kupokea kadi za CCM Singida na wote wameahidi kuhamia CHADEMA

Wema: Naomba maswali matatu yanayohusiana na mimi kuhama

Swali: Unaidai CCM?

Majibu ya Wema: Wasanii wengi ikiwemo mimi nawadai, nikianza kuzungumzia madeni watasema ni kwa sababu tumehama. Mimi na wasanii wengine tunawadai CCM lakini wanatujibu tukamdai Kikwete rais mstaafu.

Mariam anauliza swali kuhusu voice note

Majibu ya Mama Wema: Mimi siku nyingi nimezima simu yangu, sijui wala sijaangalia kitu gani kimezungumzwa. Japokuwa nmesikia kwamba kuna sauti. Siijui kabisa

Mimi simu yangu ina matatizo, siwezi kuisikiliza hiyo sauti, mlioisikia ni nyinyi sio mimi

Steve ni mtoto wangu sasa hiyo sauti yangu na Steve siijui

Wala sijawahi kuisikia ila nina mpango wa kuisikiliza simu ikipona

Je huu uamuzi ni wa hasira?

Wema: Hapana sio wa hasira, nimepata hasira kura za viti maalum na ndo ningehama. Hadi hapo CCM ilipo ina jasho langu na nguvu zangu.
Nimeonewa na nimefanywa nijisikie mnyonge ndani ya chama

Nilijitoa ikibidi nife. Nilipoenda Zanzibar wanachama wa CUF walitaka kunimwagia tindikali kisa mimi ni wa CCM. Walinimwagia michanga. Hiyo yote ni katika harakati za kuitetea CCM

Leo chama ndo kimefanya nipitie yote Haya

Mapenzi ni nipe nikupe, mapenzi yakiwa ya upande mmoja sio mapenzi

Je chadema wamekununua?

Majibu:
CHADEMA hawajanipa hata sh 10. Ni mapenzi yangu tu. Hayo mambo ya fedha tumezoweshwa kwa sababu chama cha mapinduzi ndo mtindo wao.

Huu ni uamzi mgumu sana, na mimi nikishasema basi ni basi. Sirudi nyuma.

CHADEMA wanapigania demokrasia. Tanzania yetu imeanza kupoteza demokrasia kwa kiasi kikubwa.

Sijaingia kwenye mitandao. Natamani niingie na kutoa kale kapicha ka CCM nilichokipost tatizo sijapata muda wa kuingi kwenye mitandao.
Kama ni vita nimeshavaa magwanda nipo tayari kupigana
CHADEMA wamenipokea kwa mikono miwili

Swali: Kuna mtu mkubwa una bifu naye, CCM unafanyiwa hivi, je CHADEMA si itazidi?

Kwanza kabisa sina bifu na mtu yoyote kutoka CCM

Maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge

Kumbuka mimi nina kesi mahakamani, tunachopigania ni uhuru na demokrasia. Maswali yametosha. Asanteni sana

~MWISHO~

95% out of 2.5m followers in your instagram account can be your haters..and 5% ya waliobaki wanaweza kuwa nje ya nchi...Bado ni ngumu sana kuamini wema kuhamia CHADEMA kuna faida zaidi ya hasara
 
Back
Top Bottom