Haha..Wali wa afu3 kama kawa upo kaka
Achana na serena, timba pande za sea cliff chimbo la karambezi hutojutia, mko wangapi nikupangie bajetiWazee weekend inaingia ,kuna mitoko na familia ,nauliza bei ya misosi ya Serena hotel ikoje?
Mwanaume nataka kubadili upepo kidogo Mke na watoto wangu wasizoee sehemu za kawaida ,
Hii Avatar yako inachanganya mkuu, naona kama kioo cha simu yangu ina wino na hivi ina kaufa fulani hivi😂Ohooooo
No, Yaani Huwezi kunielewa ila kila nikiperuzi naona wino huo basi najua simu yangu imeshatoa vitu🤣🤣🤣.tatizo mbea sana, umefata Nini kwny avatar yangu