tilmikha
JF-Expert Member
- Feb 27, 2013
- 496
- 604
Wizara ya mambo ya kiislamu nchini Saudi Arabia,leo imeifunga misikiti mitano kwa muda kutoka mikoa mitatu tofauti baada ya kesi saba za virusi vya Corona kupatikana katika baadhi ya waumini, idadi ambayo inafikisha jumla ya misikiti iliyofungwa ndani ya siku 11 kufikia 92 ambapo 79 imeshafunguliwa baada ya kupulizwa madawa na kukamilika kwa hatua za kuhakikisha utayari wa za kiafya zipo katika hali inayotakiwa.
Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.
Chanzo: Wizara ya mambo ya kiislamu S. Arabia.