Mishahara ya watumishi wa umma kulipwa hazina kupitia BoT

Mkuu umeturudisha nyuma sana enzi hizo bia sh 200 soda sh 10 baikeli sh 500 na gari sh... Nimekumbuka mbali sana! RTD idhaa ya taifa na idhaa ya biashara kule yuko anko J Nyaisanga...
 
Kwa hiyo Bashite ataandikaje? Maana mwenyejina kapatikana na anahojiwa na Takukuru Tabora
Bashitw sio mtumish wa umma.
Jamani ushasahau ile hotuba ya UDOM kwenye kukabidhiana orodha ya majina 9000+??
 
Mkuu umeturudisha nyuma sana enzi hizo bia sh 200 soda sh 10 baikeli sh 500 na gari sh... Nimekumbuka mbali sana! RTD idhaa ya taifa na idhaa ya biashara kule yuko anko J Nyaisanga...
Duh!baisikeli ilikuwa sawa na biambili nanusu
,.
 
Asante sana mkuu kwa kunielewesha!!Nitasubiri ufafanuzi mwingine toka mahali kwingine,huu wako umenifungua macho
 
Mfano ktk payroll nimetumia majina mawili na kule bank nimetumia na jina la ukoo hapa itakuwaje?

Nenda kayaunganishe yafanane acha ubishi ni lazima yawe matatu mfano John Albert Mapunda na sio John Albert wala john Mapunda.maana john Albert ni mtu mwingine, John Mapunda ni mwingine na John Albert Mapunda ni mtu mwingine ok wahi sasa
 
Taarifa sio rasmi. We need verified information. Hata sihangaiki coz cjapata taarifa yoyote toka kwa mwajiri wangu

Mwajiri wangu leo mapema sana asubuhi kanisogezea form ili nijaze taarifa zangu kuhusu hii ishu na inataka uwe na uhakika wa usahihi wa majina ya kwenye payroll na bank nadhania itawafikia tu kwa kua zoezi litaanza kufanyika mwisho wa julai kama sikosei.
 
Nadhani huu ni uhakiki wa namna nyingine kama sikosei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…