mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Haifai kuwa na papara
Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu/?
Kwa walimu diploma na degree?
Ama kweli fani imeingiliwa!Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu/?
Kwa walimu diploma na degree?
Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu/?
Kwa walimu diploma na degree?
Dogo fanya kazi ualimu ni wito au umeingia fani siyo yako.
Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu/?
Kwa walimu diploma na degree?
Huyu c mwl ni dem wa mwalimu anauliza mshahara wake il ajue jinc gan ya kumchuna.
eti mshahara bei gani? Kamwe kwa aina hii ya walimu watoto hawataambulia chochote, sasa nimeanza kupata picha yule mkuu wa wilaya kwanini aliwacharaza viboko walimu, kumbe tunao wa aina hii!!!
Degree umepanda sana wameongeza 8500,Diploma wameongeza 2185.75
Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu
Naomba nijue mishahara itakuwa bei gani wakuu/?
Kwa walimu diploma na degree?
Ndugu kinene mishahara ya wafanyakaz wa umma wengi itapanda kwa asilimia 29 had 30,[walimu pia]so kokotoa hizo percent kwa current basic salaries utapata majawabu.
mulionisema poa tu
Dogo fanya kazi ualimu ni wito au umeingia fani siyo yako.