beeper
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 251
- 105
Habari,
Hivi SERIKALI inapopandisha bei za nauli MISHAHARA nayo inaangaliwa? Watu bidhaa wanafaidika kwa kuongeza bei lakini mishahara ipo palepale mfano sukari ilipopanda haikushuka ilipo. Tofauti ya kuoanda ni kubwa.
Wiki hii mmetangaza kupanda kwa nauli lakini hali za mishahara kwa sisi makabwela tunatumia huo usafiri ipo palepale. Naomba SERIKALI iliangalie hili.
Hivi SERIKALI inapopandisha bei za nauli MISHAHARA nayo inaangaliwa? Watu bidhaa wanafaidika kwa kuongeza bei lakini mishahara ipo palepale mfano sukari ilipopanda haikushuka ilipo. Tofauti ya kuoanda ni kubwa.
Wiki hii mmetangaza kupanda kwa nauli lakini hali za mishahara kwa sisi makabwela tunatumia huo usafiri ipo palepale. Naomba SERIKALI iliangalie hili.