Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

Kweli elimu Tanzania inadharauliwa sana, acha tu kina naniliu waendelee kukataa hadi maandishi yao, ninacho kisoma hapa kwa wadau kuhusu hizo pesa wanazo lipwa, HAPANA aise. Kusoma sana hadi kuipata hiyo Poor Hair Distribution (PHD) hakuna maana yoyote. Yaani mwalimu kamili wa chuo analipwa 3.5Ms? Khaa!
Hata Mimi imenishangaza sana mtu kapoteza miaka 30 kusoma halaf analipwa hivyo wakati Mimi ni ENGINEER wa kawaida tu nalipwa zaidi ya hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa imepanda sana. Miaka kama 20 iliyopita, nilikuwa nalipwa 130,000 kwa mwezi UDSM. Ilibidi nikimbie tu. Kulikuwa hakuna namna nyingine. Wenzangu waliovumilia naona awamu hii Jiwe kawakumbuka na teuzi zake.
Kwa Mshahara huu sasa hivi ungekuwa level za PhD au Le Proffeseri
 
Habari wakuu ningependa kujua mishahara ya tutorial assistants kwa vyuo vya umma kama udsm , ardhi ,udom n.k na other benefits (packages) outside basic salary natanguliza shukrani
Jaman anayejua zaidi juu ya hili atujuze
 
Let me ask you pls, you mean TA, in tz can teach with a bachelors degree only, oky if so if you have a masters you became a full lecturer or, and a lecturer with a masters how much does he /she earns after all deductions pls, ukinipa jibu nitashukuru
Definetly, because kuna wanao ajiliwa fresh from school due to their outstanding perfomance wakiwa degree graduates...but wanapewa madarasa ya undergraduate.

kuhusu kuwa full lecturer ina depend elimu years of experience na publications. na upandaji ni Tutorial assistant,assistant lecturer,lecturer then at last senior lecturer.
Let me ask you pls, you mean TA, in tz can teach with a bachelors degree only, oky if so if you have a masters you became a full lecturer or, and a lecturer with a masters how much does he /she earns after all deductions pls, ukinipa jibu nitashukuru mkuu
 
Back
Top Bottom