Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

Mishahara ya tutorial assistant vyuo vya umma

kupitia hii post na nyingne nyingi,nimejua tu kuwa si kila jibu la JF member Ni kweli,wengi wanajibu mambo wasioyajua,mfano mtu anasema "T.A. Ni kazi inayokufanya utegemee mshahara tu" huyu ni muongo kabisa maana academicians wako free kabisa na Kama Ni mtu wa kazi nyingi uko huru kufanya shughuli zako ilmradi uwasilishe matokeo ya wanafunzi bila malalamiko,kingine mshahara wa T.A. wa kuanzia sio 1.8M,ni chini kidogo ya hapo;
Hii ni 2018, leo 2025 salary bei gani?
 
Hii ni 2018, leo 2025 salary bei gani?
3 years degree..m1.6+
4 years degree ..m1.7+
Masters m2.5+
PhD m3.5+
Hiyo ni salary ambayo inaongezeka kila mwaka kwa academicians...kuna trainings, extra duty n.k kutegemea na chuo chenyewe
Hakuna attendance, utafika ukiwa na kipindi...
Kujiheshimu ndio muhimu zaidi...mtaani mpk chuoni
 
3 years degree..m1.6+
4 years degree ..m1.7+
Masters m2.5+
PhD m3.5+
Hiyo ni salary ambayo inaongezeka kila mwaka kwa academicians...kuna trainings, extra duty n.k kutegemea na chuo chenyewe
Hakuna attendance, utafika ukiwa na kipindi...
Kujiheshimu ndio muhimu zaidi...mtaani mpk chuoni
Asante
 
3 years degree..m1.6+
4 years degree ..m1.7+
Masters m2.5+
PhD m3.5+
Hiyo ni salary ambayo inaongezeka kila mwaka kwa academicians...kuna trainings, extra duty n.k kutegemea na chuo chenyewe
Hakuna attendance, utafika ukiwa na kipindi...
Kujiheshimu ndio muhimu zaidi...mtaani mpk chuoni
Asee
 
Back
Top Bottom