ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
Kama laki 6 hivi kasoro, hapo hujajumuisha HESLB, ukiijumuisha inafika laki 9 hivi.Kwan makato ya mishahara ya tutorial assistants anayeanza ni kiasi gani?
Kama laki 6 hivi kasoro, hapo hujajumuisha HESLB, ukiijumuisha inafika laki 9 hivi.Kwan makato ya mishahara ya tutorial assistants anayeanza ni kiasi gani?
Dah hapo sijakuelewa kidogo. Mshahara ni 1.6m . Wakikata laki 6 inanabaki 1m. Na heslb naskia wanakata 10% ambayo ni 160,000, ukiijumlisha na laki sita unapata 760,000 na siyo laki 9. Au mahesabu yanakuwajeKama laki 6 hivi kasoro, hapo hujajumuisha HESLB, ukiijumuisha inafika laki 9 hivi.
Mshahara ni 1.8 gross Kwa tutorial assistant anayeanza kazi. Makato ni kama laki 6 hapo HESLB excluded. Ukiijumuisha makato yanafika around laki 9Dah hapo sijakuelewa kidogo. Mshahara ni 1.6m . Wakikata laki 6 inanabaki 1m. Na heslb naskia wanakata 10% ambayo ni 160,000, ukiijumlisha na laki sita unapata 760,000 na siyo laki 9. Au mahesabu yanakuwaje
HESLB ni 15% ya Gross salary sio ya take homeDah hapo sijakuelewa kidogo. Mshahara ni 1.6m . Wakikata laki 6 inanabaki 1m. Na heslb naskia wanakata 10% ambayo ni 160,000, ukiijumlisha na laki sita unapata 760,000 na siyo laki 9. Au mahesabu yanakuwaje
First degree__Tutorial assistantLet me ask you pls, you mean TA, in tz can teach with a bachelors degree only, oky if so if you have a masters you became a full lecturer or, and a lecturer with a masters how much does he /she earns after all deductions pls, ukinipa jibu nitashukuru mkuu
Heslb wanakata kwenye basic salary not gross salaryHESLB ni 15% ya Gross salary sio ya take home
Kwakweli ni kujicheleweshea tu maendeleo. Title kubwa halafu hakuna kitu.KWeli elimu Tanzania inadharauliwa sana, acha tu kina naniliu waendelee kukataa hadi maandishi yao, ninacho kisoma hapa kwa wadau kuhusu hizo pesa wanazo lipwa, HAPANA aise. Kusoma sana hadi kuipata hiyo Poor Hair Distribution (PHD) hakuna maana yoyote. Yaani mwalimu kamili wa chuo analipwa 3.5Ms? Khaa!
Samahani mkuu nikurekebishe mwenye masters ni assistant lecturer na siyo lecturer PhD holders ndo malecturersYou can but you must readily be registered for Masters programme, after winding up you will then present your certifications then you can upgrade to be a Lecturer! A lecturer likely earns 1.8 take home and a tutorial assistant earns 800 after all deductions, being House Rent, Social Security, PAYE and the like! Its roughly 400k deductions from the salary!
Masters pia waweza kuwa lecturer, ikiwa umefanyakazi kazi zaidi ya miaka mi3 na una machapisho kadhaa ya kukidhi vigezo.Samahani mkuu nikurekebishe mwenye masters ni assistant lecturer na siyo lecturer PhD holders ndo malecturers
15% ni from Gross sio basic. Ipitie upya ile Sheria yao kandamiziHeslb wanakata kwenye basic salary not gross salary
Ahaa poa poa mkuu, ila kitambulisho cha dadaangu kimeandikwa Lecturer so there must be some conditions perhaps!Samahani mkuu nikurekebishe mwenye masters ni assistant lecturer na siyo lecturer PhD holders ndo malecturers
Naomba nieleweshe tofauti yakeHeslb wanakata kwenye basic salary not gross salary