Take home ya Mwalimu mwenye degree ni sh. 371,500, ukiweka makato ya HESLB mwalimu anarudi home na sh. 324,500 nyumbani. hii ni sawa na malipo ya siku moja ya kikao kimoja cha mbunge!
kama ua access na hazina nifahamishe mkuu hii ndo maana ya jukwaa.
Kama wewe ni great thinker tuletee huo waraka wa 2007 sio kutoa povu tu hapa
nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000
DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000
kilimo/mifugo 1,133,600
sheria 871,500
DEGREE
mwalimu 469,200
afya 802,200
kilimo na mifugo 1,354,000
Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya
Walimu msilalamike coz kwenye kufaulu walimu ndio failures,div 3 na 4 ndo huchukuliwa ualimu,so u cant be equal na liyepiga msuli akascore div 1 au 2 akaenda kusoma udaktari au sheria,haki yenu ya mishahara mizuri iko subject na matokeo yenu ya shule,Uganda mfumo wao ni kwamba walimu wako well paid coz wanaoenda kusomea ualimu ni wale walioscore highly kuliko wengine.WAKE UP YOU!!!!nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000
DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000
kilimo/mifugo 1,133,600
sheria 871,500
DEGREE
mwalimu 469,200
afya 802,200
kilimo na mifugo 1,354,000
Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya
Wenzenu hapa Kenya wamejikomboa kwa solidarity! Nyie zubaeni tu! halafu mtatumika kwenye chaguzi zote kama manamba!nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000
DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000
kilimo/mifugo 1,133,600
sheria 871,500
DEGREE
mwalimu 469,200
afya 802,200
kilimo na mifugo 1,354,000
Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya
Hizi takwimu si sahihi. Pia ni muhimu uonyeshe kianzio cha mshahara ndipo tunaweza kulinganisha vizuri.
Upuuzi huu katafute kwa kuuweka!Mhandisi Kilimo Mishahara Degree ni 499,000/= Diploma 255,000/= hizo figure za kubumba umezitoa wapi!Si watu wote wangeenda kusomea kilimo!Afya sijui lakini hiyo uliyotuwekea ni sumu!nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000
DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000
kilimo/mifugo 1,133,600
sheria 871,500
DEGREE
mwalimu 469,200
afya 802,200
kilimo na mifugo 1,354,000
Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya
acha kudanganya umma...katafute takwimu sahihi hazina au utumishi.
acha kudanganya umma...katafute takwimu sahihi hazina au utumishi.