Mishahara serikalini!!

Mishahara serikalini!!

salary.jpg hope umeelewa
 
Uongo mkubwa afya cheti 327000 doploma 537000 acha kudanganya watu bwana fanya utafti kabla ya kuleta humu!

Data zipo wazi na huo ndio ukweli.yakupasa utambue kwamba hakuna waraka mmoja unao fafanua mishahara ya watumishi wa umma.kila idara na waraka wake.nadhani lengo la serikali ni wagawe uwatawale(devide and rule).
 
Mbele na Nyumba mwalimu anayefundisha Maarifa na Maadili husahauliwa na wananfunzi wake ambao wanabadilika kuwa ma FISADI kwa mishahara minono.
 
Walimu msilalamike coz kwenye kufaulu walimu ndio failures,div 3 na 4 ndo huchukuliwa ualimu,so u cant be equal na liyepiga msuli akascore div 1 au 2 akaenda kusoma udaktari au sheria,haki yenu ya mishahara mizuri iko subject na matokeo yenu ya shule,Uganda mfumo wao ni kwamba walimu wako well paid coz wanaoenda kusomea ualimu ni wale walioscore highly kuliko wengine.WAKE UP YOU!!!!
Jambo hili unalolizungumzia haliko sahihi sana mimi nina marafiki zangu zaidi ya watano ambao tulimaliza wote Kidato cha Nne mwaka 1991 na walipata wote Divisio II tena kuanzia pointi 18 lakini walipelekwa kusomea Ualimu,si sawasawa kusema walimu ni "failures" ni matusi kwao! Ni mfumo tu mbaya wa mipangilio ya Mishahara unaowafanya Waalimu waonekane kama wamedharauliwa,ingawa athali zao Waalimu tunaziona kila siku pale watoto wetu wanaposhindwa kujieleza ama kujiamini hata pale unapowauliza swali dogo tu!
 
Kiukwel namna walim wanavyopatkana, halafu kwa jinsi walvyokuwa weng cdhan kama mshahara unaweza kupanda zaid ya hapo hzo kada nyngne wanazalipwa vzr bse wako wachache sasa ukchukua ratio ya mishara ya category nyng haiwez kuendana na ualmu
 
Walimu tushachukuliwa kama ma makondoo tu,tuamke tuachana na akina Mkoba na CWT.Ila 2015 walimu tuchukue hatua!
 
acha kudanganya umma...katafute takwimu sahihi hazina au utumishi.

Weka hizo takwimu zako unazohisi ni sahihi tuzione.

Zinaweza kutokuwa figure sahihi, lamsingi ni kuwa utofauti wa mishahara ktk sekta mbalimbali kwa viwango sawa vya elimu upo! Na chanzo chake ni selikali dhaifu, isiyo kusanya kodi, inayofisadi hata kale kadogo kalikokusanywa, inayogawa rasilimali ktk jina ka uwekezaji huku ikisamehe kodi kwenye vitendea kazi vyao, yenye matumizi ya anasa, yenye makao makuu sehemu mbili tofauti,....nadhani nimejibu sehemu ya swali lako.

Bandugu, tuache kukashfiana na kusimangana. Kuna mahali nimepata document nzima ya Government ssalary scales, ambapo serikali iliajiri consultant ili kupitia viwango hivyo vya mishahara na kuviboresha.
Nimeambatanisha picha za sehemu ya hiyo document. Kazi hiyo ilifanywa na Crown Management Consultants Limited waliopo Masaki Dar.. Naomba wataalamu wa utumishi wa umma mtufafanulie hizo Government Scales zinaendana na kiwango gani cha elimu?

Mishahara ya serikali.png Mishahara ya serikali 2.png Mishahara ya serikali 3.png

Kama picha hazitaonekana vizuri naomba u click.
 
Ukiangalia majedwali hapo juu (kwa mfano hilo la tatu), kwenye executive agencies, unaweza kuona tofauti ya kima cha juu cha mtumishi aliye Tanroads dhidi ya yule wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) na yule wa Idara ya Taifa ya Takwimu (NBS). Sasa ujiulize, huyo muhudumu wa masjala wa NBS (NBS Scale 1) kama anaishi mjini anaishije kwa sihilingi 167,100/- kwa mwezi?
 
kuna zile calculations za miaka ya degree (credit hours). Pia Worldwide kuna kitu kinaitwa 'rere proffession' kama vile udaktari, uhandisi na sheria. it is unfair unapotaka graduate wa BSc. Horticulture alipwe sawa na BSc. Electric Engineering. BTW, madaraja yalianzia mbingumi ambapo Biblia inasema kuna malaika wanang'aa kama jua na wengine wanang'aa kama vibatari.
 
nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?
CHETI
mwalimu 244,400
afya 472,000
kilimo/mifugo 959,400
... sheria 630,000

DIPLOMA
mwalimu 325,700
afya 682,000
kilimo/mifugo 1,133,600
sheria 871,500

DEGREE
mwalimu 469,200
afya 802,200
kilimo na mifugo 1,354,000

Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya

Ndugu huyo FB! wako nadhani ipo siku atakulisha sumu hivyo chukua tahadhali mapema ya kutembea na maziwa au mavi ya ngombe ili ikifika hapo unywe mapema?? na mbaya zaidi ni kwa walimu wenzangu watuhumiwa wa hili kuendelea kuamini data feki hizi na kuanza kulaani kwa gap kubwa bila tafiti yoyote !! kumbuka politicians wameamua kututumia sie kama ngazi zao na kwa idadi wanaamini wakifanikiwa kutuchonganisha na mfumo watakuwa wametupata, tumuombe mleta mada atupe supporting document!!!!!
 
wasalaam!
kuna tofauti kubwa mishahara katika watumishi serikalini na pensheni pia kutokana na vigezo vifuatavyo
tuki consider other factors remain constant km muda wa utumishi serikali ,vifuatavyo vinachangia katika kupishana mishahara
1.muda uliotumia kusoma mfano diploma wa miaka 3 mshahara wake ni mdogo kuliko diploma wa miaka miwili au degree ya miaka 3 inatofautiana na degree ya miaka 4 au 5 au 6.(ualimu,mipango miji,udaktari mifugo,udakari kinywa,urubani ndege vita nk)
2.cirular wakati unaajiliwa(sheria iliyoanzisha ajila yako,Acts ,gvt notes,order,n.k zilizoanzisha carder yako)
3.aina ya uajili(operational,recruitment ,apointment nk)
5.sheria zilizoanzisha ajira yako(mfano wakala wa serikali;taasissi,mamlaka,)
nawasilisha
 
By dionis nyorobi<br />
nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb! wanajamvi nisaidieni nini sababu ya hizi tofauti?<br />
Tofauti ya mishahara miongoni mwa wafanyakazi wa umma wenye kiwango kimoja cha elimu?<br />
CHETI<br />
mwalimu 244,400<br />
afya 472,000<br />
kilimo/mifugo 959,400<br />
... sheria 630,000<br />
<br />
DIPLOMA<br />
mwalimu 325,700<br />
afya 682,000<br />
kilimo/mifugo 1,133,600<br />
sheria 871,500<br />
<br />
DEGREE<br />
mwalimu 469,200<br />
afya 802,200<br />
kilimo na mifugo 1,354,000<br />
<br />
Utagundua kwamba aliyesema 'balaa kubwa si kifo bali ni maisha yasiyo na matarjio' yuko sahihi! Walimu hatuna matarajio! change what you see by changing how you see.! Hizi ni dharau tena naweza kuita ni 'ACADEMIC ABUSE'. Tushikamane walimu kuondoa matusi haya
Walimu msilalamike coz kwenye kufaulu walimu ndio failures,div 3 na 4 ndo huchukuliwa ualimu,so u cant be equal na liyepiga msuli akascore div 1 au 2 akaenda kusoma udaktari au sheria,haki yenu ya mishahara mizuri iko subject na matokeo yenu ya shule,Uganda mfumo wao ni kwamba walimu wako well paid coz wanaoenda kusomea ualimu ni wale walioscore highly kuliko wengine.WAKE UP YOU!!!!
Sasa hao wanaoscore highly hapa tanzania si wanafundishwa na hao wa div. 4. Acha kashifa kuna vigezo vya kujiunga na vyuo husika sidhan kama wanajichagua vizuri ni wajibu wa Serikali kuweka vigezo stahiki kujiunga na vyuo mbalimbali. Hata kama mtu kapata div. 0 bado anatakiwa kupata haki yake ya msingi kutoka serikalini aandaliwe mazingira mazuri ya kukabili maisha. Ndugu yangu mishahara ya watu waliopata hzo wani wakiwa BOT au TRA mishahara ni tofauti na waliojikaza wakapata wani na kujikita katika fani za ELIMU NA AFYA hapo ndipo shida ilipo kwamba mgawanyo wa keki ya taifa hainufaishi wananchi kwa usawa hubagua na hapo ndipo shida ilipo.
 
Kiukwel namna walim wanavyopatkana, halafu kwa jinsi walvyokuwa weng cdhan kama mshahara unaweza kupanda zaid ya hapo hzo kada nyngne wanazalipwa vzr bse wako wachache sasa ukchukua ratio ya mishara ya category nyng haiwez kuendana na ualmu

Hivi hizo nchi nyingine ambazo waalimu wanalipwa vizuri kishinda hapa Tz wapo wachache!
 
Data zipo wazi na huo ndio ukweli.yakupasa utambue kwamba hakuna waraka mmoja unao fafanua mishahara ya watumishi wa umma.kila idara na waraka wake.nadhani lengo la serikali ni wagawe uwatawale(devide and rule).
Mshahara Afya cheti ni TGSH A1 diploma TGSHB1 sasa kaangalie hiyo mishahara kama inalingana na pesa ulizoandika
 
Weka hizo takwimu zako unazohisi ni sahihi tuzione.

Watanzania mbona wavivu sana. Mwenyewe umeandika hivi: ".....nimeikuta hii kwenye post ya jamaa yangu fb!" Swali ni kwamba hivi jamaa yako ndio chanzo kizuri sana cha habari.

Ndio maana post #2 (Dotowangu) kakujibu hivi: "acha kudanganya umma...katafute takwimu sahihi hazina au utumishi" Maana Hazina na Utumishi ndio utapata mishahara halisi ya hao uwatakao, ndipo utakuwa na fursa ya kuandika. Vinginevyo subiri.
 
  • Hii habari ni yakweli kabisa angalia kwny hii attachment ya salary scale mpya. Pia nakumbuka uzuri yakua kuna mdau aliitupiaga hapa JF.
 

Attachments

Back
Top Bottom