Mishahara Mwezi Agosti

Mishahara Mwezi Agosti

Acheni kulalamika hapa kama madiaspora, nyie ndie mliichagua hii serikali na kutuambia Mkulu ni Tumaini jipya kwa Watanzania. Inabidi mkae miezi 6 ndio akili itakaa sawa

mkuu si wote tulioichagua hii serikali ya blah blah, wengine tulipambana sana kuelimisha umma bega kwa bega na wanaharakati kuhakikisha maccm yanapigwa chini 2010
 
Sipendi porojo Kuna mwalim wa zanaki Rafiki yangu ameshapata mshahara,I'm nt joking ht cku moja

ikhwaan mpaka jana tunawasiliana wa ilala hakuna kitu same na temeke. je unakata kuniambia wamelipa kwa mafungu?!
 
Last edited by a moderator:
Walimu mna umoja sana huku JF pelekeni malalamiko yenu Kwa Mwigulu
 
mkuu wewe ndio unaleta porojo, mimi ndio nakwambia hakuna mshahara uliolipwa kwa manispaa 3 za hapa Dar.

Ukiona hujalipwa ujue ni moja ya wale wenye vyeti bandia . Huku kwetu wala hawauliz mshahara wameshaa jijua na kusepa .
 
Wacha uongoooooo, sisi tumepata na tumeanza kuumalizia mshahara, usipende kujumuisha tatizo ulilonalo wewe!!!!
 
Ukiona hujalipwa ujue ni moja ya wale wenye vyeti bandia . Huku kwetu wala hawauliz mshahara wameshaa jijua na kusepa .

Mkuu elimu yangu haina shaka hata chembe. kuanzia chekechea mpaka chuo.
 
Katika hali isiyoeleweka mpaka sasa mishahara haijatoka. hususani kwa kada ya ualimu kwa manispaa zote tatu hapa Dar Es Salaam na kwa hili nadhani hata mikoani hali ni hii hii.

Hii serikali mbona haieleweki iweje mishahara isitoke na hakuna maelezo yoyote, wahusika wapo kimya.

mikoan walishapata,ngoma mbich dsm
 
Kwa jazba ulizonazo lazima utakuwa mla vumbi wewe. Pole.

ni kweli, tena wa miaka mingi na huenda kama si wewe hata wazazi wako ni product iliyotokana na kula kwangu vumbi. Ndo maana naufahamu uwezo wako kitaaluma. Sina uhakika kama huko uliko umebadilika. Bado unasubiri hivyo vibibi vikuasili ili uambulie kaurithi utakaokuwa pungufu kuliko wa paka wake? Unaniabisha mla vumbi wako!
 
Acheni kulalamika hapa kama madiaspora, nyie ndie mliichagua hii serikali na kutuambia Mkulu ni Tumaini jipya kwa Watanzania. Inabidi mkae miezi 6 ndio akili itakaa sawa

unaingiza siasa kila mahal,hata ukipaliwa na maji utasema maji ya ccm yamenipalia,unadhan mwalim alipiga kura?
 
Last edited by a moderator:
Uwezo wangu kitaaluma umeufahamia wapi wewe?

nilikufundisha darasa la kwanza jinsi ya kuacha kutoa kamasi kwa kupiga nike shavuni. Usisahau kuwa mwalimu atabaki kuwa mwalimu hata kama hajakufundisha ukikutana naye utamwita mwalimu tu. Waona jinsi ulivyo na kajiuwezo kadogo ka kuchanganua mambo? Jiongeze huko uliko huenda ukabadilika.
 
mwiguru jembe naomba ani pm nimuongezee ujanja fulani kiutendaji
 
Mshahara unalipwa kwa mafungu. Wengine bado mpaka mwezi huu wa tisa wanasubiri mshahara wa mwezi wa nane. Wengine wameendelea kupokea mishahara ya zamani. Eti hazina bado inakokotoa fomula ya mshahara mpya.
 
Back
Top Bottom