Mishahara Mwezi Agosti

Mishahara Mwezi Agosti

kuwa mstaarabu hasa unapochangia hoja zinazogusa maisha ya watu. Unamaanisha nini kusema wala vumbi. Bila wao hata hizo keypads usingezijua. Dharau zako zinaonyesha jinsi ambavyo hukuelimika japo ulowait wala vumbi kujitolea kwa uwezo wao wote kukuelimisha. Si makosa yako lakini. Utakuwa umevimbiwa hizo posho za bmk au wewe ni wa mtaa wa lumumba. Maamuma wewe!

Kwa jazba ulizonazo lazima utakuwa mla vumbi wewe. Pole.
 
Manispaa ya Temeke huwa wanatoa mshahara tarehe 40. wao n do kawaida yao! ukipokea tarehe 27 au 28 ni ajabu sana. sijui kuna nini nyuma ya pazia! Temeke ni majanga sana Mkurugenzi na wahasibu wake wana lao jambo!
 
Kuwe na sheria a kuwabana waajiri kwamba ni lazima wawalipe waajiliwa katika tarehe husika na kama hawatafanya hivyo wapigwe faini.

Ina maana na mishahara ya mawaziri na makatibu wakuu nayo imechelewa kulipwa?.

Sasa kama watumishi wa serikali waliopo Dar hawajalipwa mpaka sasa, je watumishi wa serikali waliopo Tandahimba na Tanganyika masagati watalipwa lini?. Inasikitisha kwa kweli.
 
Acheni kulalamika hapa kama madiaspora, nyie ndie mliichagua hii serikali na kutuambia Mkulu ni Tumaini jipya kwa Watanzania. Inabidi mkae miezi 6 ndio akili itakaa sawa
 
Serikali imefilisika JK kajificha na ukawa dodoma wanakunywa juice, waliolipwa ni wale wanopokea mishahara kupitia NMB, ni advance payment serikali ikipata hela inawarudishia NMB kisela ila wale wanaolipwa kupitia benki nyingine kwa sababu hakuna bilateral arrangement na serikali mtasikilizia sana huenda mkalipwa tarehe 40.
 
umeshamaliza kuogesha vibibi vya kizungu?

Nimemaliza na mtonyo wangu nshakabidhiwa na sasa hivi niko hapa nakula ribeye steak, caviar, na mvinyo ya Pinot Grigio. Hakuna cha kusubiri sirikali wala hazina.

Una jingine?
 
inabidi muhame dar salsa mbona huku tumeshaupata navunakaribiavkuisha?
 
Ni walimu tu ndio hawajapata mishahara, au ni pamoja na mahakama, polisi, magereza, jkt na jwtz???
 
kuwa mstaarabu hasa unapochangia hoja zinazogusa maisha ya watu. Unamaanisha nini kusema wala vumbi. Bila wao hata hizo keypads usingezijua. Dharau zako zinaonyesha jinsi ambavyo hukuelimika japo ulowait wala vumbi kujitolea kwa uwezo wao wote kukuelimisha. Si makosa yako lakini. Utakuwa umevimbiwa hizo posho za bmk au wewe ni wa mtaa wa lumumba. Maamuma wewe!

Achana na hawa mkuu....wanaosha papuchi na tigo za wazee huko nje wanajiona wameyapatia maisha.
 
Sasa nimiezi mitatu, watumishi mishahara yao hawapati kwa wakati, bunge la katiba ndicho chanzo naona. Lack of planning is a plan to fail. Tarehe ya mwisho wakupata mshahara kwamtumishi wa uma kila mwezi ni tarehe 25 yakila mwezi. Laki sasa watumishi wanakwenda mpaka tarerehe sita hadi kumi ya mwezi unao fwata. Its a shame kwa kweli.
 
Poleni sana walisema wanahakiki vyeti vya wafanyakazi....tusubiri
 
Kuwe na sheria a kuwabana waajiri kwamba ni lazima wawalipe waajiliwa katika tarehe husika na kama hawatafanya hivyo wapigwe faini.

Ina maana na mishahara ya mawaziri na makatibu wakuu nayo imechelewa kulipwa?.

Sasa kama watumishi wa serikali waliopo Dar hawajalipwa mpaka sasa, je watumishi wa serikali waliopo Tandahimba na Tanganyika masagati watalipwa lini?. Inasikitisha kwa kweli.

Well Said mkuu, mimi huwa tar 30 ikifika hakuna mshahara ulioingia bank siendi kazini najichanganya katika biashara zangu tu hadi atm itakapokua inasoma.
 
Back
Top Bottom