Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,559
kuwa mstaarabu hasa unapochangia hoja zinazogusa maisha ya watu. Unamaanisha nini kusema wala vumbi. Bila wao hata hizo keypads usingezijua. Dharau zako zinaonyesha jinsi ambavyo hukuelimika japo ulowait wala vumbi kujitolea kwa uwezo wao wote kukuelimisha. Si makosa yako lakini. Utakuwa umevimbiwa hizo posho za bmk au wewe ni wa mtaa wa lumumba. Maamuma wewe!
Kwa jazba ulizonazo lazima utakuwa mla vumbi wewe. Pole.