Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
- Thread starter
- #61
Ha ha haaaa una akili sana!!!!!
Mkuu OLESAIDIMU huu msimamo hadi kwa HR nilishamueleza, mwezi may mwaka jana walikosea nika miss salary. nilichofanya ni kuwaandikia barua kuwa sitofika kazin kwa mwezi mmoja kutokana na kukosa mshahara tena kwa uzembe wao.
wakajua natania, ilipofika wiki hawanioni wakanipigia niende shule nikopeshwe hela na akaunti ya shule.
Nikaenda nikalipwa ndio nikaendelea kufanya kazi.
Leo sijaenda nipo kwenye mishe zangu, salio kama litasoma leo basi kesho panapo majaliwa nitakuwepo kazini ila kwa leo HAPANA.
Last edited by a moderator: