Mishahara Mwezi Agosti

Mishahara Mwezi Agosti

Ha ha haaaa una akili sana!!!!!

Mkuu OLESAIDIMU huu msimamo hadi kwa HR nilishamueleza, mwezi may mwaka jana walikosea nika miss salary. nilichofanya ni kuwaandikia barua kuwa sitofika kazin kwa mwezi mmoja kutokana na kukosa mshahara tena kwa uzembe wao.

wakajua natania, ilipofika wiki hawanioni wakanipigia niende shule nikopeshwe hela na akaunti ya shule.

Nikaenda nikalipwa ndio nikaendelea kufanya kazi.
Leo sijaenda nipo kwenye mishe zangu, salio kama litasoma leo basi kesho panapo majaliwa nitakuwepo kazini ila kwa leo HAPANA.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu OLESAIDIMU huu msimamo hadi kwa HR nilishamueleza, mwezi may mwaka jana walikosea nika miss salary. nilichofanya ni kuwaandikia barua kuwa sitofika kazin kwa mwezi mmoja kutokana na kukosa mshahara tena kwa uzembe wao.

wakajua natania, ilipofika wiki hawanioni wakanipigia niende shule nikopeshwe hela na akaunti ya shule.

Nikaenda nikalipwa ndio nikaendelea kufanya kazi.
Leo sijaenda nipo kwenye mishe zangu, salio kama litasoma leo basi kesho panapo majaliwa nitakuwepo kazini ila kwa leo HAPANA.

Ha ha haaaaaaa Mpatanishi unajua ndio maana hayati JK aliona hili! !!!
Alijua watu wakiwa na vipato nje ya mishahara huwa hawatingishiki, ukishika mboga ye anamwaga ugali ugali nusu kabisa anasubiri umwage mboga naye amalizie nusu iliyobaki!!!!!

Sio jambo zuri ila sasa watu wafanyaje???!!!
Mtu kajikopa wese mwezi mzima halafu holaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaaaaa Mpatanishi unajua ndio maana hayati JK aliona hili! !!!
Alijua watu wakiwa na vipato nje ya mishahara huwa hawatingishiki, ukishika mboga ye anamwaga ugali ugali nusu kabisa anasubiri umwage mboga naye amalizie nusu iliyobaki!!!!!

Sio jambo zuri ila sasa watu wafanyaje???!!!
Mtu kajikopa wese mwezi mzima halafu holaaa!!!

Haaah haah mkuu mwaka jana walijaribu kunitisha eti watapeleka jina langu ngazi za juu wataniwajibisha.

Nikawajibu waanze kujiwajibisha wao kwanza kwa kushindwa kuhakikisha ninapata mshahara wangu,haki yangu wakati wao ndio kazi yao na wanalipwa mshahara na marupurupu kwa kazi hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Haaah haah mkuu mwaka jana walijaribu kunitisha eti watapeleka jina langu ngazi za juu wataniwajibisha.

Nikawajibu waanze kujiwajibisha wao kwanza kwa kushindwa kuhakikisha ninapata mshahara wangu,haki yangu wakati wao ndio kazi yao na wanalipwa mshahara na marupurupu kwa kazi hiyo.

Ha ha ha haaaa bora sikukufahumu nikiwa kijana tungetimuliwa wote kazi
 
Katika hali isiyoeleweka mpaka sasa mishahara haijatoka. hususani kwa kada ya ualimu kwa manispaa zote tatu hapa Dar Es Salaam na kwa hili nadhani hata mikoani hali ni hii hii.

Hii serikali mbona haieleweki iweje mishahara isitoke na hakuna maelezo yoyote, wahusika wapo kimya.

Ni nyie tu hamjapokea wenzenu tanga foleni leo wiki ya tatu
 
Katika hali isiyoeleweka mpaka sasa mishahara haijatoka. hususani kwa kada ya ualimu kwa manispaa zote tatu hapa Dar Es Salaam na kwa hili nadhani hata mikoani hali ni hii hii.

Hii serikali mbona haieleweki iweje mishahara isitoke na hakuna maelezo yoyote, wahusika wapo kimya.


Wizara ya Elimu Walio kwa Katibu Mkuu(Vyuo vya Ualimu na Shule za Mazoezi) Pia bado. Hawa watu wanaleta utani na maisha ya watu!!!
 
Mi mwenyewe wiki nzima nimenyuti home tu,nasubiri hadi usome ndio nionekane kwa ofisi
 
Polen wafanyakazi wa serikali..kwa kunyonywa dam zenu afu mnapewa chapaa wakijiskiaa
 
Nimemaliza na mtonyo wangu nshakabidhiwa na sasa hivi niko hapa nakula ribeye steak, caviar, na mvinyo ya Pinot Grigio. Hakuna cha kusubiri sirikali wala hazina.

Una jingine?
Ulinawa mikono? Au unakula na kinyesi cha vibibi?
 
Wizara ya Elimu Walio kwa Katibu Mkuu(Vyuo vya Ualimu na Shule za Mazoezi) Pia bado. Hawa watu wanaleta utani na maisha ya watu!!!


Wanatoa vipaumbele kwenye shughuli zinazowapa 10%, ndiyo maana unakuta wanashupalia vikao kuliko kulipa salaries, vinginevyo watakawiza mpaka zipatikane hizo za EFDs huko kwenye migomo, vinginevyo andika maumivu jamaa yangu
 
Back
Top Bottom