Mshahara umetoka, kalipeni madeni. Pia jitahidi kufanya kada yako ipate heshima
Acha kudanganya watu.
Acha kudanganya watu.
Inategemea ameajiriwa wapi. Kama ni mwalimu wa msingi ama sekondari anaanza na TGTS D1, kama ameajiriwa vyuo vya ualimu anaanza na TGTS E1.Ila kama ameajiriwa taasisi za Elimu ya juu kuna ngazi zake za mishahara mbali na TGTS
NB:Hakuna cheo cha muundo kwa postgraduate kama ni mwl wa msingi, sekondari na vyuo vya ualimu zaidi ya kuboresha CV tu kwa vyeo vya madaraka.
Mgodi umshatema E wameongeza elf 90[/QU
hakika D1 wameongeza 60 elfu.
Mgodi umshatema E wameongeza elf 90[/QU
hakika D1 wameongeza 60 elfu.
apo chacha wagawe na pikpik ss
Uhakika huo hapo
Waambie Me Napendelea Pkpk Aina Ya Boxer Nitawapa Kura
D1 take home 571,000/=Hiyo haina ubishi