Mishahara mipya ya walimu 2015/2016

Mishahara mipya ya walimu 2015/2016

We jamaa tatizo lako umepanic soma vizuri alicho andika mwenzio alafu fananisha hizo data kama zipo sawa wa bongo bwana kila kitu mtu anataka awe against

Pitia tena nilichomaanisha, ili uelewe vizuri.

Sijapingana na ongezeko ktk basic salary, anapokosea ni kwenye hayo makato ya pay as earn

Nikweli PAYE imepungua kwa 11%
ndio.Ila mwenye kupata Tsh. 1,235,000/
daraja haiwezekani akatwe 11%
 
Uhakika huo hapo
 

Attachments

  • 1437529445160.jpg
    1437529445160.jpg
    66.9 KB · Views: 1,377
  • 1437529462996.jpg
    1437529462996.jpg
    65.8 KB · Views: 1,182
  • 1437529478864.jpg
    1437529478864.jpg
    64.1 KB · Views: 1,463
  • 1437529495544.jpg
    1437529495544.jpg
    47.3 KB · Views: 1,047
nauliza hivi kuna tofauti kati ya tgs na tgts, kwa mfano mm ni mwalimu (tutor) scale yangu imeandikwa tgs je hayo mabadiliko yanatuhusu?
 
Maisha yalivyo ongezeko halisadii kitu
 
waraka gani huo hauna hata mhuri wa ofisi moja MCHONGANISHI ? sahivi kila mtu anaweza chapisha akaweka hzo figa.
 
Last edited by a moderator:
na je postgraduate naye anaanza na ngapi WA ndugu?

Inategemea ameajiriwa wapi. Kama ni mwalimu wa msingi ama sekondari anaanza na TGTS D1, kama ameajiriwa vyuo vya ualimu anaanza na TGTS E1.Ila kama ameajiriwa taasisi za Elimu ya juu kuna ngazi zake za mishahara mbali na TGTS
NB:Hakuna cheo cha muundo kwa postgraduate kama ni mwl wa msingi, sekondari na vyuo vya ualimu zaidi ya kuboresha CV tu kwa vyeo vya madaraka.
 
vp madaraja ya walim? mwenye tetes+kujua a2juze bas, mfano kwa walioajiriwa 2012, madaraja vp mbona kizungumkuti?
 
Dah wadau tupieni na mishahara mipya ya agencies za serikali mfano...eGA,tanroads na nyingine
 
Waungwana vipi mzigo mpya bado haujaingia kwenye accounts zenu mbona hatuambiani??!
 
Mkolaj Kuna Tetesi Kua Mwez Huu Mishahara Ina Chelewa Sana
 
Mshahara umetoka, kalipeni madeni. Pia jitahidi kufanya kada yako ipate heshima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom