Kashi
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 897
- 747
Mwalimu wa primary yupi alianza na D1 acha uongo. Na B1 na C1 anapokea nani?
Kama hujui miundo ya utumishi wa walimu ni bora ukakaa kimya. Kuna walimu kibao wa primary wana first degree hadi wenye masters wapo.