Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Tangu habari za mabadiliko ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikalini na mashirika ya umma hapa nchini ziwekwe hadharani, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi ambayo kwayo nashindwa kuyapatia majibu. Inakuwaje leo mtumishi wa ngazi ya juu ambaye anapewa;
shangingi bure,
anaishi nyumba ya bure,
Umeme bure
analipiwa gharama za simu,
Chai ofisini ni bure........ Inakuwaje mtu huyu ndiye huyohuyo apate nyongeza ya zaidi ya shilingi millioni moja wakati mimi ninaye panda daladala 4-6 kwa siku
Nalipia kodi ya nyumba
Ada ya watoto wa shule
Bill ya umeme
Maji ndoo moja shilingi 500........ Lakini nimeambulia nyongeza ya shilingi 35,000 tu! Sasa nauliza kama Kasungura ni kadogo kwa nini tusigawane sawa?
Tutafakali pamoja.
shangingi bure,
anaishi nyumba ya bure,
Umeme bure
analipiwa gharama za simu,
Chai ofisini ni bure........ Inakuwaje mtu huyu ndiye huyohuyo apate nyongeza ya zaidi ya shilingi millioni moja wakati mimi ninaye panda daladala 4-6 kwa siku
Nalipia kodi ya nyumba
Ada ya watoto wa shule
Bill ya umeme
Maji ndoo moja shilingi 500........ Lakini nimeambulia nyongeza ya shilingi 35,000 tu! Sasa nauliza kama Kasungura ni kadogo kwa nini tusigawane sawa?
Tutafakali pamoja.