Hii nchi watu ni kudandia dandia mambo wasiyoyojua ukweli wake, huo uliousema mtoa hoja ndio ukweli wenyewe niliwahi kufanya kazi halmashaur na hicho ndicho kilichopo, hela haikuwa inakuja kulikuwa hakuna namna, ni aibu watendaji kumdanganya hadi mkuu wa nchi akaanza kuongea vitu ambavyo havi exist. Tatizo la watumish hewa sio kubwa sana, isipokuwa ile hela inatumika tofauti. Inawezekana wafanyakaz wachache hasa walimu au kada ya afya ambao kutokana na vituo vya kazi kuwa mbali na halmashauri, wakaacha kazi, kwenda masomoni bila taarifa rasmi kwenda mamlaka husika lakin huwa haiwez kuwa muda mrefu haijawa sorted out. Cku tukiacha kukuza vitu kutafuta kick za kisiasa ndo tutatoka, otherwise bado sana.