Hahahahaaaaa hiii mada imekuja wakati muafakaa mimi nakumbukaa enzi zanguu. Nakuaaa. 1.kuvaa nguo nzuli.....tunasema umelipukaa au umepiga pamba bling bling. 2. Wazee wakali waliitwa wakuda na wanokoo. 3.watu wenye tabia ya kununa....tuliwaita makauzu 3.vijana wakorofi na tabia za utemi na ugomvi mtaani. tuliwaitaga msela mavi. Au msele nondo. 4.kwenda disco enzi zile tulisema tunaendaa. kujirushaa. Au kuruka kwanjaa. 5.enzi hizo vijana waliokuwa wakiishi masaki, osterbay,mbezi beach, mikocheni,mbezi beach walikuwa wakiitwa watoto wa kishuaaa ushuani. Au. Watoto wa mboga saba kuji seviaaa. 6.enzi hizoo manzese palijulikana kama sowetoo. 7.enzi hizo malaya walikuwa walipatikana mtaa wa ohio,kinondoni makaburini na uwanja wa fisi tuu sasa hivi kila sehemu zote dar kuna malaya. 8.enzi nakumbuka vijana temeke walipaita tmk, magomeni palita migo migo, mabibo paliitwa mabaiboo,tabata palitwa tbt, segerea paliitwa segedance, mburahati palitwa mbura bwaira, gongo la mboto paliitwa goms na mbagala paliitwa mwisho wa dunia,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.