Ndula ni kiatu moja kwa moja... sio viatu vya ndulaWanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama Viatu vya Ndula,
Karibuni.
Hapo mkuu umenikumbusha kitu! daah!Mzula,
Ameupigia ugoko,
Shwaini,
Njagu,
Utabana ngenge,
Shati la Ngwabi na suruali ya pekozi....