Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hata bongo mbona yapo mengi tu. Anza na hayo mkuu. Usikasirishwe na vya mbali wakati ndani mwako ni ya kumwagaHili ni miongoni mwa matukio yaliyonijaza hasira na hata kunitesa kisaikolojia, ningekuwa US nadhani ningekuwa mstari wa mbele kufanya maandano ya kuvuruga amani kabisa, hawa watu weupe hawa..!!