Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,355
Nilifurahi sana na nikashukuru moto uliowashwa na CHADEMA ambao ulipelekea Mkuu wa nchi kutangaza nyongeza ya mshahara ha kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuona secular iliyoonyesha mshahara mpya. Lakini mwezi wa nane sikuona nyongeza na taarifa nilizopata kwa bursar wetu hata mwezi huu wa tisa wameletewa hundi 'ile ile'. Sijui sisi huku sio wapiga kura!!!!!!!