Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Mimi niligusisha kwa juu...Ananiambia ana mimba

Eti baada ya mwezi mmoja akaja kuniambia tumbo limemjaa....[emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza......
1: Mbona, sikuwahi zama..!?
2: Mbona, skuhiyo aliisogeza (kyupy) pembeni..!?
3: Au, mimba nili iingiza kwa ulimi nilipo pandishia ulimi kwenye fudi ya watoto..!?
4: Pengine nilimtunga ile asubuhi wakati wa kupiga mluzi pale kazi..!?

Aggghhhhh........[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Uligusisha shenzi kabisa.ulitaka upigilie msumari ndio ujue imezama chini ??jiandae kulea acha kulia lia!!
 
Ilintokea hii lalek.... Nlkodoa macho balaa....ila ngoja nangalie i yako ipoje
 
Poa comrade cheza salama.

Dedication : kitanda hakizai haramu
Ohoooo.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Skuhiyo sikupata hata umate umate....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Labda ulipitiwa na usingizi akajihudumia mwenyewe hah hah...no way out inabidi uhudumie hiyo kitu la sivyo utakuwa hatiani tu kwa jinsi ninavyowajua hawa kina Hawa'
Ebu ngoja nijilazimishe....[emoji25] [emoji25]
 
Hata ukiwa usingizini ukiguswa panapohusika lazima mwili utajongea mkuu hah hah anyway siwezi kupinga utafiti wako..mpaka tufanye tafiti kwanza!
Ohoooooo.......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Humu naona kila mtu amekua mtafiti skuizi....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Sasa huo ushindi umetoka wapi amigo?

Kama umate hukupata hata
Kwahili natangaza kushindwa kabisa comrade....
Yaani hapa nimefungiwa vitumbua kwenye mfuko wa mkate....
 
Back
Top Bottom